KIDESELA
Senior Member
- Sep 26, 2011
- 149
- 91
Habari za hapa wana Jf ,
Kama kichwa cha habari yangu ilivyo hapo juu,
Mimi ni kijana wa kiume miaka yangu 33, sijasomea uandishi wa habari wala sijasomea utangazaji, ila binafsi napenda utangazaji kwa sababu naamini nina uwezo mkubwa sana kuzidi watangazaji wengi sana wa hizi FM radio.
Binafsi nafahamu mambo mengi sana ya kisiasa michezo, kidiplomasia, naongea lugha ya kiswahili kwa ufasaha na kuandika, sauti yangu pia inavutia sana wasikilizaji.
Nina amini ninaweza kusoma taarifa ya habari ya habari kwa ufasaha na kipindi cha michezo, mwenye kunihitaji japo kwa majaribio aamini nayosema anicheki namba hizo hapo chini.
0715432626
Au nicheki pm
Kama kichwa cha habari yangu ilivyo hapo juu,
Mimi ni kijana wa kiume miaka yangu 33, sijasomea uandishi wa habari wala sijasomea utangazaji, ila binafsi napenda utangazaji kwa sababu naamini nina uwezo mkubwa sana kuzidi watangazaji wengi sana wa hizi FM radio.
Binafsi nafahamu mambo mengi sana ya kisiasa michezo, kidiplomasia, naongea lugha ya kiswahili kwa ufasaha na kuandika, sauti yangu pia inavutia sana wasikilizaji.
Nina amini ninaweza kusoma taarifa ya habari ya habari kwa ufasaha na kipindi cha michezo, mwenye kunihitaji japo kwa majaribio aamini nayosema anicheki namba hizo hapo chini.
0715432626
Au nicheki pm