johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,023
- 142,069
Niseme tu huwa sioni tofauti Kati ya Watangazaji Radio FM na TV na wale Waigizaji wa Kaole.
Enzi za Akina Charls Hilal, Betty Chalamila, Mahmud Mikidad, Mayalla, Ben Kiko, Selena Kumchafua, Jacob Tesha, Ahmed Kipozi, Jongo nk Watangazaji Radio walikuwa Wanaheshimika sana.
Hawa wa leo sasa Baba Levo, Mpoki, Swebe, Masanja Mkandamizaji, Madenge ni full vituko yaani.
Tumetoka mbali aiseee.
Jumaa Mubarak. 😀😀
Enzi za Akina Charls Hilal, Betty Chalamila, Mahmud Mikidad, Mayalla, Ben Kiko, Selena Kumchafua, Jacob Tesha, Ahmed Kipozi, Jongo nk Watangazaji Radio walikuwa Wanaheshimika sana.
Hawa wa leo sasa Baba Levo, Mpoki, Swebe, Masanja Mkandamizaji, Madenge ni full vituko yaani.
Tumetoka mbali aiseee.
Jumaa Mubarak. 😀😀