jonas255
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 222
- 104
Jamani nimemaliza chuo mwaka 2012 hadi sasa sijapata kazi nimemaliza degree ya kwanza ya sheria na nimeenda law school bahati mbaya matokeo ya law school hayajakaa vizuri...
Tatizo ni kua nina mchumba wangu nimeishi nae miaka miwili sasa bila kazi... Mwaka huu amepata uja uzito na anatarajia kujifungua muda si mrefu a mimi sina kazi... Jaman naombeni ushauri wenu nifanye nini maisha yamenipiga ngwara mwenzenu nimechanganyikiwa na rafiki zangu wananicheka sina hata wa kunishauri... Nimeona bora nikipimbie uku kwa wenzangu mnishauri
Tatizo ni kua nina mchumba wangu nimeishi nae miaka miwili sasa bila kazi... Mwaka huu amepata uja uzito na anatarajia kujifungua muda si mrefu a mimi sina kazi... Jaman naombeni ushauri wenu nifanye nini maisha yamenipiga ngwara mwenzenu nimechanganyikiwa na rafiki zangu wananicheka sina hata wa kunishauri... Nimeona bora nikipimbie uku kwa wenzangu mnishauri