lettymololo
Senior Member
- Mar 17, 2014
- 132
- 11
Wakuu ni matumaini yangu mtakua ni wazima wa afya.
Kwa majina naitwa Faraja Mololo napatikana Dodoma, ombi langu kwenu ni kuomba msaada kwa mtu yeyote ambae anaweza akanisaidia niweze pata kazi halali maeneo ya Dodoma mjini, huu ni mwaka wangu wa nne nafanya kazi ya uhasibu kwenye shirika moja kubwa tu hapa Tanzania. Lengo langu nataka kama nikifanikiwa niweze kujiendeleza kielimu hata kwa masomo ya jioni.
Nitashukuru kwa yeyote ambae atakua na moyo wa kunisaidia, kwa ufafanuzi zaidi waweza tuma meseji kwa namba hii 0684864360.
Asante!
Kwa majina naitwa Faraja Mololo napatikana Dodoma, ombi langu kwenu ni kuomba msaada kwa mtu yeyote ambae anaweza akanisaidia niweze pata kazi halali maeneo ya Dodoma mjini, huu ni mwaka wangu wa nne nafanya kazi ya uhasibu kwenye shirika moja kubwa tu hapa Tanzania. Lengo langu nataka kama nikifanikiwa niweze kujiendeleza kielimu hata kwa masomo ya jioni.
Nitashukuru kwa yeyote ambae atakua na moyo wa kunisaidia, kwa ufafanuzi zaidi waweza tuma meseji kwa namba hii 0684864360.
Asante!