Naitwa Irene Misana mimi ni msichana wa miaka 20 nimekuja hapa Dar es salaam miezi mitano iliyopita nikitokea mkoa wa Mwanza na kufikia kwa rafiki yangu dhumuni la kuja huku ni kutafuta kazi yoyote ili niweze kujiingizia kipato.
Kwa bahati mbaya tangu nifike sijabahatika kupata kazi yoyote zaidi nimeishia kuishi maisha ya shida na tabu.
Yoyote mwenye kunisaidia hata zikapatikana kazi za ndani nipo tayari kufanya niweze kuendesha maisha yangu.
Namba yangu ni 0693818606.
Ahsanteni naamini mtanisaidia maana hali mbaya.
Kwa bahati mbaya tangu nifike sijabahatika kupata kazi yoyote zaidi nimeishia kuishi maisha ya shida na tabu.
Yoyote mwenye kunisaidia hata zikapatikana kazi za ndani nipo tayari kufanya niweze kuendesha maisha yangu.
Namba yangu ni 0693818606.
Ahsanteni naamini mtanisaidia maana hali mbaya.