mfuga kuku
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 750
- 544
Habari wandugu,
kwa mdau yeyote ambae ana information ya wapi naweza kupata mashine ya kutotolesha vifaranga(inkubeta)
naomba anijuze, napendelea zaidi za mitumba.
kwa mdau yeyote ambae ana information ya wapi naweza kupata mashine ya kutotolesha vifaranga(inkubeta)
naomba anijuze, napendelea zaidi za mitumba.