Natafuta girl mbongo aliyeko mamtoni

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,231
Namtafuta girl yoyote ambaye kakaa mamtoni kwa miaka anayojua yeye,awe ana mtoto au hana haijalishi as long tukakubaliana tuende next level,....awe UK,nchi za scandanavia au zingine za Asia.

Natafuta girl serious kutokana na sifa hapo juu,ingawa mi bado mambo bado hayako fresh ila kama upo serious na tuanze maisha nicheki pm.
 
Dahhh.....
Umenifanya nimemkumbuka baby wangu aliniambia tuachane kwasababu ya kumtamani X baby wake na rafiki wake mtoto wa dada yake na baby wangu wa pili kabla ya kukutana na girl alie niacha.....
 
Namtafuta girl yoyote ambaye kakaa mamtoni kwa miaka anayojua yeye,awe ana mtoto au hana haijalishi as long tukakubaliana tuende next level,....awe UK,nchi za scandanavia au zingine za Asia.

Natafuta girl serious kutokana na sifa hapo juu,ingawa mi bado mambo bado hayako fresh ila kama upo serious na tuanze maisha nicheki pm.

Na wewe uko mamtoni mkuu?. Ila tu lazima ujue kwamba, wa mamtoni ni ngagari; hawamung'unyj maneno!.
 
Duuh..Mamtoni kuna nn mkuu??..Yani Muonekano,sijui tabia sio ishu... ili mradi awe amekaa mbele?
 
Duuh..Mamtoni kuna nn mkuu??..Yani Muonekano,sijui tabia sio ishu... ili mradi awe amekaa mbele?

Wa mamtoni ukichepuka tu anakupiga chini, sasa wewe Kaboom utaweza kweli?. Wale walishakwepa mishale mingi sana mkuu, they know what they want in life!. Ila ukimpata na wewe ukatuliza boli, mnaweza kufanikiwa sana katika maisha!.
 
Namtafuta girl yoyote ambaye kakaa mamtoni kwa miaka anayojua yeye,awe ana mtoto au hana haijalishi as long tukakubaliana tuende next level,....awe UK,nchi za scandanavia au zingine za Asia.

Natafuta girl serious kutokana na sifa hapo juu,ingawa mi bado mambo bado hayako fresh ila kama upo serious na tuanze maisha nicheki pm.
Kuna girl mmoja mkali alishawahi kukaa mabaharini nikuunganishe nae?
 
Namtafuta girl yoyote ambaye kakaa mamtoni kwa miaka anayojua yeye,awe ana mtoto au hana haijalishi as long tukakubaliana tuende next level,....awe UK,nchi za scandanavia au zingine za Asia.

Natafuta girl serious kutokana na sifa hapo juu,ingawa mi bado mambo bado hayako fresh ila kama upo serious na tuanze maisha nicheki pm.
unataka kupata viza kirahisi au?hivi huko mamton ndo kunanini zaid kunaziteka akili zenu kias hiki?
 
Back
Top Bottom