teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 136
natafuta gari ya kununua hiace super roof isiyozidi ml 18 lkn iwe ktk hali nzuri iwe haidaiwi tra namambo mengine
Kweli magar zenji yako bei poa kidogo tatizo ukilileta bongo TRA wanalifanyia tax evaluation upya maana zenji tax zao ziko chini. Difference ya tax inabidi ulipe na mwisho wa cku unajikuta hukusave lolote.Mkuu nenda Zanzibar utapata from showroom imported kwa mpaka 17Mil, kuivusha + Plate number unaongeza 2mil,
Hapo inabaki bima na makorokoro mengine.
Kweli magar zenji yako bei poa kidogo tatizo ukilileta bongo TRA wanalifanyia tax evaluation upya maana zenji tax zao ziko chini. Difference ya tax inabidi ulipe na mwisho wa cku unajikuta hukusave lolote.