Mkolye New Member Jul 19, 2023 3 1 Jan 24, 2024 #1 Nahitaji nyumba ya kununua iwe imekamilika umeme na maji au banda la uwani ambalo lipo sehemu nzuri kwa biashara. LOCATION Uga, Mwakidila, Mwahako, Mwang'ombe. 0766445858
Nahitaji nyumba ya kununua iwe imekamilika umeme na maji au banda la uwani ambalo lipo sehemu nzuri kwa biashara. LOCATION Uga, Mwakidila, Mwahako, Mwang'ombe. 0766445858
Ulongupanjala JF-Expert Member Apr 9, 2013 7,685 12,319 Jan 24, 2024 #2 Nakushauri jenga ya kwako. Ni ngumu sana kupata nyumba ya kununua yenye vigezo unavyovitaka.
Ulongupanjala JF-Expert Member Apr 9, 2013 7,685 12,319 Jan 24, 2024 #3 Kuna moja ipo Pongwe,bajeti yako ni kiasi gani?
mtzedi JF-Expert Member Dec 13, 2011 5,603 5,611 Jan 24, 2024 #4 Una shilingi ngapi Kuna moja ipo Mapojoni