Natafuta gari ndogo-naombeni ushauri

Sendeu

Member
Jun 29, 2009
59
2
wadau
nisaidieni ushauri nataka kununua kagari kadogo kwa ajili ya mishemishe za hapa mjini nishaurini kweye haya magari ni lipi durable na economical na upatikanaji wa spea kwa bei nzuri
1.NISSANI MARCH
2.VITZ
3.SUZUKI SWIFT
4.TOYOTA STARLET
asanteni naombeni mawazo yenu wana JF hasa toka kwa wataalam wa magari au wanaotumia magari hayo.
 
wadau
nisaidieni ushauri nataka kununua kagari kadogo kwa ajili ya mishemishe za hapa mjini nishaurini kweye haya magari ni lipi durable na economical na upatikanaji wa spea kwa bei nzuri
1.NISSANI MARCH
2.VITZ
3.SUZUKI SWIFT
4.TOYOTA STARLET
asanteni naombeni mawazo yenu wana JF hasa toka kwa wataalam wa magari au wanaotumia magari hayo.



kama unanguvu mdau mi nakushauri VITZ hizi gari gari zipo economy sana katika wese.
 
kwa ushauri wangu!ni bora ukanunua Toyota Corolla!ni durable na haitakuboa!ukitaka kuuza unauza fasta!engine vvti cc 1300,uta enjoy life!mafuta ya buku 10 unapiga misele ya kufa mtu.
 
vitz mkuu itakufaa. tafuta cc chini ya 1000 maana zipo na za 1300. wala usihangaike kwingine.
 
achana nazo zote hizo. nunua Honda Fit. Fanya search kwenye mtandao (goggle - compare Honda Fit, Toyota Vitz, Suzuki Swift. au andika users' review kisha andika hizo gari. ) utajua nani zaidi kwa kila kitu....usifate mkumbo wa kujaa kwa Toyota mitaani
 
achana nazo zote hizo. nunua Honda Fit. Fanya search kwenye mtandao (goggle - compare Honda Fit, Toyota Vitz, Suzuki Swift. au andika users' review kisha andika hizo gari. ) utajua nani zaidi kwa kila kitu....usifate mkumbo wa kujaa kwa Toyota mitaani

mkuu honda ni nzuri inapofika swala la spea wachaga wanasema
noshaaaaaaaaaaaaaaaaaa
mwenye macho na aone asema KIM DIDY II
 
Mkuu niPM nikupatie gari aina ya Toyota Passo 2004(engine ni kama ya Vitz).
Bei maelewano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom