wadau
nisaidieni ushauri nataka kununua kagari kadogo kwa ajili ya mishemishe za hapa mjini nishaurini kweye haya magari ni lipi durable na economical na upatikanaji wa spea kwa bei nzuri
1.NISSANI MARCH
2.VITZ
3.SUZUKI SWIFT
4.TOYOTA STARLET
asanteni naombeni mawazo yenu wana JF hasa toka kwa wataalam wa magari au wanaotumia magari hayo.
nisaidieni ushauri nataka kununua kagari kadogo kwa ajili ya mishemishe za hapa mjini nishaurini kweye haya magari ni lipi durable na economical na upatikanaji wa spea kwa bei nzuri
1.NISSANI MARCH
2.VITZ
3.SUZUKI SWIFT
4.TOYOTA STARLET
asanteni naombeni mawazo yenu wana JF hasa toka kwa wataalam wa magari au wanaotumia magari hayo.