Ilala shauri moyo kuna mtaalam anaitwa Makofia hapo ni mwisho dar nzima anaheshimika anatengeneza na spea zote anazo
Nisaidie namba ya makofia if possible nimtafute
hapo akili mukichwa,
sasa mkatakiu unalia nini?? lol
Ikunda, that avatar means alot to me, but inshort i am coming from life of crying, i cry alot in my life in different moments after alot of life disspointments from people i believe,,, lets ended there, hopin you get me....
Nashukuru mi nilimpata na alisaidia tatizo la gari langu.Natumaini bado anatumia hii number 0754692863. nina muda kama miaka miwili sijawa na mawasiliano nae.
Makofia ndiye mtaalam wa AC za magari hapa TZ naweza sema! Tatizo lake anacharge high sana!Nashukuru mi nilimpata na alisaidia tatizo la gari langu.
mkuu endelea na hiyo habari, tupo pamoja
Hawa Vijana hata mimi nimeshawatumia kwa gari mbili tofauti, na kazi yao ni safi sana... Halaf charge yao sasa ndio utashangaa... sijawahi kuchargiwa zaidi ya elfu 10...