ROKY
Senior Member
- May 4, 2011
- 182
- 70
Dear members wa JF,
Nina mashamba ambayo nataka sana kuyaendeleza, ila tatizo ni funds za kuyaendeleza. Natafuta long term funds / loans / investors (miaka mitano au zaidi) zenye masharti nafuu ili niweze kuyaendeleza mashamba hayo.
Anyone ambaye anajua ninakoweza kupata funds za namna hiyo please inform me.
Thanks in advance.
Nina mashamba ambayo nataka sana kuyaendeleza, ila tatizo ni funds za kuyaendeleza. Natafuta long term funds / loans / investors (miaka mitano au zaidi) zenye masharti nafuu ili niweze kuyaendeleza mashamba hayo.
Anyone ambaye anajua ninakoweza kupata funds za namna hiyo please inform me.
Thanks in advance.