Natafuta Fundi Mzuri wa Blackberry

Ozzie

JF-Expert Member
Oct 9, 2007
3,217
1,259
Natafuta fundi mzuri sana anayeweza kunitengenezea Blackberry Bold 9930. Nimenunua mpya kabisa kama wiki mbili zilizopita, pasipo guarantee. Nilikuwa nimetoka ku snyc phonebook zangu kwenye Macbook usiku wa hivi karibuni. Nikafanya kosa la kuto eject ipasavyo (sijui kama ndio chanzo). Baada ya hapo iliendelea kufanya kazi ila nilipoamka asubuhi ikawa haiwaki tena zaidi ya ile red LED. Nimeipeleka kwa Mwesiga pale posta opposite na IPS Building Azikiwe/Samora Avenue lakini imewatoa knock out. Kabla sijaituma nataka nimpate guru wa BB bongo. Msaada tafadhali!!!
 
Natafuta fundi mzuri sana anayeweza kunitengenezea Blackberry Bold 9930. Nimenunua mpya kabisa kama wiki mbili zilizopita, pasipo guarantee. Nilikuwa nimetoka ku snyc phonebook zangu kwenye Macbook usiku wa hivi karibuni. Nikafanya kosa la kuto eject ipasavyo (sijui kama ndio chanzo). Baada ya hapo iliendelea kufanya kazi ila nilipoamka asubuhi ikawa haiwaki tena zaidi ya ile red LED. Nimeipeleka kwa Mwesiga pale posta opposite na IPS Building Azikiwe/Samora Avenue lakini imewatoa knock out. Kabla sijaituma nataka nimpate guru wa BB bongo. Msaada tafadhali!!!

Itakuwa ya mchina hiyo itupe tu utaingia ghalama za bure alafu isipone
 
Try WIRELESS CONCEPT
Mosque streets you are heading towards Jambo Inn near By Home Direct Appliances
Ask for Mr Munna
+255 754 233355
 
Itakuwa ya mchina hiyo itupe tu utaingia ghalama za bure alafu isipone

inaweza kuwa made from china lkn wako authorized na bb na kwa kutengeneza device za standard moja worldwide. Lkn siyo zile za kkoo za elfu hamsini ..zile hata hiyo syncronize huwezi fanya na huyu mfungua mada sidhani kama angeweza hata kujaribu kufanya hilo zoezi. Kiufupi hata sony ericsson ipo na tatizo hili
 
Check with deo cellphonist; yeye ashatengeneza issues km hizo 5 ikiwemo zangu mbili zikapona kabisa same problem red LED light blinking muda wote na ukiingiza usb cable haisomi kwenye pc. Ukipita stand ya makumbusho/chaga bite ukitokea posta ambaa baada ya jengo jipya la Derm na woodwork kata kushoto nenda moja kwa moja unakutana na kijibarabara then kata tena kushoto ulizia kwenye mduka yaliyopo hapo mkono wako wa kushoto ulipokatia ask for Deo
 
Simu za bei hizi bamiza kichwa sana hapo bado hujapigwa loba ya mbao au hujasachiwa na wajanja wa mujini
 
Mm nina BB Storm ina tatizo hilo. Nimepeleka kwa Sele pale Samora ikamshinda, kwa Mwesiga akachemka, nikaenda kwa Baker pale Hadees fast food nao wakachemka. Nimeitupa ndani tu.
 
Unaweza itengeneza mwenyewe, jaribu hizi solutions:

The good news, starting from scratch, you will be back in service in a couple of hours.
biggrin.gif


1. ...

2. You need to install a BlackBerry OS file that is specific to your device. The original version, as supplied by the carrier, is the safe choice, but you can use any model specific version. This is not supplied on your BlackBerry CD, Ref: 3 links to BlackBerry's download pages.

3. Once the OS has been installed, you have to prepare it for the device.

Select Start / Computer and select the Drive C: Icon.

Open Program Files / Common Files / Research in Motion / AppLoader.

Navigate to the bottom and delete the file Vendor.XML file.

4. You are now ready to restore your device. Verify that BlackBerry Desktop Manager is NOT running. Plug the device directly into the computer's USB port.

We are about to venture into the bowls of the beast. Windows is not suitable for this job, we are going to invoke the Command line interface with an option switch. This was the way all 'puters worked prior to Mcintosh and Windows.

Windows XP: Start / Run... / Command

Windows Vista: Start / Command (type this into 'start search')

Source:
http://forums.crackberry.com/forum-f3/how-do-i-recover-dead-blackberry-32322/
 
M pm Dr phone wa hapa hapa JF, yuko vizuri nae kwenye BB maana hata mimi aliwahi kunirekebishia ya kwangu.
 
Natafuta fundi mzuri sana anayeweza kunitengenezea Blackberry Bold 9930. Nimenunua mpya kabisa kama wiki mbili zilizopita, pasipo guarantee. Nilikuwa nimetoka ku snyc phonebook zangu kwenye Macbook usiku wa hivi karibuni. Nikafanya kosa la kuto eject ipasavyo (sijui kama ndio chanzo). Baada ya hapo iliendelea kufanya kazi ila nilipoamka asubuhi ikawa haiwaki tena zaidi ya ile red LED. Nimeipeleka kwa Mwesiga pale posta opposite na IPS Building Azikiwe/Samora Avenue lakini imewatoa knock out. Kabla sijaituma nataka nimpate guru wa BB bongo. Msaada tafadhali!!!

mkuu toa feedback basi jamvini
 
Back
Top Bottom