Ivilikinge
Member
- Jun 15, 2009
- 29
- 1
- Thread starter
- #21
Masanalo thanks sana bro nimekutumia mail cheki unajua sio kila saa nacheki huku kaka mambo kibao nimekupata kaka na naomba reply yale ambayo nimekuuliza kwenye hiyo mail poa bro
Mail imegoma kuja through masanilo@jamiiforums.com ntumie nyingine kaka nikucheki kama vipi
No worries mate
Jaribu hii kingwendulile@yahoo.com nitakujibu kadri nitakavyoweza!
Masa
Mnakosea............yanayoulizwa humu yanawasaidia na wengine....hayo mambo ya kuuliza swali jamvini halafu majibu yaende kwenye mail...si uungwana.............otherwise na maswali muulizane huko huko mnakopeana majibu............Mail imegoma kuja through masanilo@jamiiforums.com ntumie nyingine kaka nikucheki kama vipi
Mnakosea............yanayoulizwa humu yanawasaidia na wengine....hayo mambo ya kuuliza swali jamvini halafu majibu yaende kwenye mail...si uungwana.............otherwise na maswali muulizane huko huko mnakopeana majibu............
.....Jamaa noma huyu nimempa shule hata thanks hakuna! Next time nitampa ushauri wa kumchanganya! viral nomaaaaaaaaa
Masanalo thanks sana bro nimekutumia mail cheki unajua sio kila saa nacheki huku kaka mambo kibao nimekupata kaka na naomba reply yale ambayo nimekuuliza kwenye hiyo mail poa bro