Natafuta Daktari Bingwa (Specialist) wa magonjwa ya wanawake kwa Dar es Salaam

B51

JF-Expert Member
Jan 1, 2019
569
781
Habari zenu wadau,

Naombeni msaada wa kuelekezwa ilipo hospital yenye kubobea (specialy) ya magonjwa ya wanawake Kwa hapa Dar es salaam. Au ni Dr yupi mnamfahamu ni specialist wa magonjwa ya wanawake na anapatikana wapi/hospital gani.

Ahsanateni
===
Huyu mwanamke anasumbuliwa na maumivu makali akifanya mapenzi, anatokwa uchafu wa damu sometimes (sio wakati akingoneka).
Alienda hospital ya kwanza akimwa mkojo na damu. Wakampa dose ya sindano5 na dawa. Akamaliza but hakuwa sawa.

Akaenda hospital nyengine akawaambia dawa alizotumia before, wakampima waakasema bado tatizo lipo.

Wakampa dose ya sindano3 na vidonge. Akatumia lkn hali haikuwa poa. Uchafu unaendelea kutoka na maumivu wakati wa show kama kawa.

Akaenda hospitali nyengine akamfanyia ultrasound na vipimo vyengine (ikiwemo cancer).

Akapewa dose ya tena 5 na vidonge but haikumsaidia. Akarudi tena pale pale akakutana na Dr yule yule akamuelezea hali ilivyo. Akambadilishia dose akampa dawa ya kunywa(CITAL) na vidonge (metronidazole na amoxicllin).

Amemaliza dose but hali haijawa sawa japo maumivu yamepungua akingoneka but na uchafu ulioambatana na damu bado unataka japo sio sana lkn huwa unatoka.

So ana mashaka sana na Hana amani ndio maana anahisi akipata doctor aliye bobea Kwa magonjwa ya kinamama atapata msaada.
But kama kuna namna anaweza kupata msaada Kwa maelezo hayo karibuni wanajamvi.
 
mkuu funguka huyo mwanamke amepatwa na shida gani ya kiafya unaweza pata msaada si lazima umpate specialist ndo tatizo lako litatulike
 
mkuu funguka huyo mwanamke amepatwa na shida gani ya kiafya unaweza pata msada si lazima umpate specialist ndo tatizo lako litatulike
Huyu mwanamke anasumbuliwa na maumivu makali akifanya mapenzi, anatokwa uchafu wa damu sometimes (sio wakati akingoneka).

Alienda hospital ya kwanza akimwa mkojo na damu. Wakampa dose ya sindano5 na dawa. Akamaliza but hakuwa sawa.
Akaenda hospital nyengine akawaambia dawa alizotumia before, wakampima waakasema bado tatizo lipo.

Wakampa dose ya sindano3 na vidonge. Akatumia lkn hali haikuwa poa. Uchafu unaendelea kutoka na maumivu wakati wa show kama kawa.
Akaenda hospitali nyengine akamfanyia ultrasound na vipimo vyengine (ikiwemo cancer).

Akapewa dose ya tena 5 na vidonge but haikumsaidia. Akarudi tena pale pale akakutana na Dr yule yule akamuelezea hali ilivyo. Akambadilishia dose akampa dawa ya kunywa(CITAL) na vidonge (metronidazole na amoxicllin).

Amemaliza dose but hali haijawa sawa japo maumivu yamepungua akingoneka but na uchafu ulioambatana na damu bado unataka japo sio sana lkn huwa unatoka.

So ana mashaka sana na Hana amani ndio maana anahisi akipata doctor aliye bobea Kwa magonjwa ya kinamama atapata msaada.
But kama kuna namna anaweza kupata msaada Kwa maelezo hayo karibuni wanajamvi.
 
Ujitibie na wewe siyo yeye peke yake...
Nami huwa napima kila akienda kupima, mara nyingi sikutwi na changamoto yoyote ila sometimes nakutwa tu na mkojo mchafu napewa dawa na Kipindi chote yeye akitumia dawa hatuingiliani.
 
pole kwa mzunguko wote anaopitia.kwa mtazamo wangu anaweza kuwa anasumbuliwa na 1.endometrion ovarian cyst,ambapo ni uvimbe ndani ya ovary ambapo miongoni mwa dalili ni maumivu hasa wakati wa tendo,sometime viginal discharge or bleeding hivyo na dalili nyingine nyingi.2.kuna upungufu wa badhi ya vichocheo vya mwili kama estrogen nazo zinapokuwa na upungufu zinasumbua sana.nikipata kamuda ka kutembelea huku basi tutajaribu kuelezea tiba .
 
pole kwa mzunguko wote anaopitia.kwa mtazamo wangu anaweza kuwa anasumbuliwa na 1.endometrion ovarian cyst,ambapo ni uvimbe ndani ya ovary ambapo miongoni mwa dalili ni maumivu hasa wakati wa tendo,sometime viginal discharge or bleeding hivyo na dalili nyingine nyingi.2.kuna upungufu wa badhi ya vichocheo vya mwili kama estrogen nazo zinapokuwa na upungufu zinasumbua sana.nikipata kamuda ka kutembelea huku basi tutajaribu kuelezea tiba .
Sawa mbuyangu... Uje ulete suluhisho mkuu
 
pole kwa mzunguko wote anaopitia.kwa mtazamo wangu anaweza kuwa anasumbuliwa na 1.endometrion ovarian cyst,ambapo ni uvimbe ndani ya ovary ambapo miongoni mwa dalili ni maumivu hasa wakati wa tendo,sometime viginal discharge or bleeding hivyo na dalili nyingine nyingi.2.kuna upungufu wa badhi ya vichocheo vya mwili kama estrogen nazo zinapokuwa na upungufu zinasumbua sana.nikipata kamuda ka kutembelea huku basi tutajaribu kuelezea tiba .
Tamila goloko

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wadau,

Naombeni msaada wa kuelekezwa ilipo hospital yenye kubobea (specialy) ya magonjwa ya wanawake Kwa hapa Dar es salaam. Au ni Dr yupi mnamfahamu ni specialist wa magonjwa ya wanawake na anapatikana wapi/hospital gani.

Ahsanateni
===
Huyu mwanamke anasumbuliwa na maumivu makali akifanya mapenzi, anatokwa uchafu wa damu sometimes (sio wakati akingoneka).
Alienda hospital ya kwanza akimwa mkojo na damu. Wakampa dose ya sindano5 na dawa. Akamaliza but hakuwa sawa.

Akaenda hospital nyengine akawaambia dawa alizotumia before, wakampima waakasema bado tatizo lipo.

Wakampa dose ya sindano3 na vidonge. Akatumia lkn hali haikuwa poa. Uchafu unaendelea kutoka na maumivu wakati wa show kama kawa.

Akaenda hospitali nyengine akamfanyia ultrasound na vipimo vyengine (ikiwemo cancer).

Akapewa dose ya tena 5 na vidonge but haikumsaidia. Akarudi tena pale pale akakutana na Dr yule yule akamuelezea hali ilivyo. Akambadilishia dose akampa dawa ya kunywa(CITAL) na vidonge (metronidazole na amoxicllin).

Amemaliza dose but hali haijawa sawa japo maumivu yamepungua akingoneka but na uchafu ulioambatana na damu bado unataka japo sio sana lkn huwa unatoka.

So ana mashaka sana na Hana amani ndio maana anahisi akipata doctor aliye bobea Kwa magonjwa ya kinamama atapata msaada.
But kama kuna namna anaweza kupata msaada Kwa maelezo hayo karibuni wanajamvi.
Pole ningekushauri aende DCMC Dodoma akamuone Profesa MAJINGE nimsaada sana
 
Back
Top Bottom