Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,198
- 852
Mimi nipo dar es salaam, natafuta boyi kwa lugha ya kwetu inaitwa shaghii. Ni ile ya kushikia sufuria wakati wa kusonga ugali. yenyewe ina umbo la "Y". Mwenye kujua zinapo uzwa hapa dar naomba anisaidie kunielekeza, nisaidieni coz mikono inaungua.
Ni hayo tu. mia
Nenda mtaa wa gerezani kariakoo utazipata. mia...