DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Wapinzani wanazidi kufarakana huku CCM wakiimarika
Wanavyoua gamba ndo ccm wanaimarika kwa akili yako.
EL atawafanya mbaya mwaka huu
Wapinzani wanazidi kufarakana huku CCM wakiimarika
Kwendeni huko mafisi. Mpate 95 kivipi wakati kikwete alitoka 80 akaja 61 na sasa Makufuli ataenda 42. Politics is mathematics nawahakikishieni Lumumba kutabaki historia jiandaeni kuwa chama pinzani
Mkuu hata hiyo 61 yenyewe ilikua bao la mkono! Nani asiyejua? 2010 mambo yangeenda kihalali saa hizi tungekua kwenye campaign ya muhula wa pili wa dakta. Ila safari hii kisiki tunaking'oa
Mbona mlikuwa mnasema kuwa Dr alishindwa 2010 na mkampa Lowassa hiyo nafasi?
Wapinzani wanazidi kufarakana huku CCM wakiimarika
Wapinzani wanazidi kufarakana huku CCM wakiimarika
Dokta gani? Huyu mlimtupia mizigo kwa sababu ya lowassa au Dr yupi? Wanafiki sana nyie, kama Dokta alishinda kwanini mwaka huu mmemtupa pembeni?
Magufuli anapiga mbizi kuelekea kigamboni/magogoni.
ccm inazidi kujihakikishia ushindi mnono zaidi, badala ya kupata kupata ushindi wa 70% sasa itapata 95%.
tuna imaaaaaaaaaaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii naa sisieeeeeeeeeeeeeeeeemuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Magufuli anapiga mbizi kuelekea kigamboni/magogoni.
ccm inazidi kujihakikishia ushindi mnono zaidi, badala ya kupata kupata ushindi wa 70% sasa itapata 95%.
tuna imaaaaaaaaaaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii naa sisieeeeeeeeeeeeeeeeemuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Wapinzani wanazidi kufarakana huku CCM wakiimarika
Magufuli anapiga mbizi kuelekea kigamboni/magogoni.
ccm inazidi kujihakikishia ushindi mnono zaidi, badala ya kupata kupata ushindi wa 70% sasa itapata 95%.
tuna imaaaaaaaaaaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii naa sisieeeeeeeeeeeeeeeeemuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.