Nasumbuliwa na tatizo la kiungulia

evonik

JF-Expert Member
Jun 12, 2015
3,998
5,132
Habari za muda huu wanabodi.

Nimekuwa ni nikisumbuliwa na tatizo la "kiungulia" kwa muda mrefu, nimeenda referral hospital, wakanipima wakanambia ni dalili za awali za ulcers, walinipatia dawa nimetumia miezI mitatu nimemaliza lakini bado sijaona mabadiliko.

Mwanzo nilkuwa nikila vyakula vyenye asidi kali kama vile maziwa mgando, dagaa, nyanya zilizopikwa, viazi vitamu n.k vinaniletea shida sana, kiungulia kinazid mno.

Lakini sasa imeenda mbali zaidi hata nikila vifungua kinywa kama vile viazi mviringo (ulaya) vya kukaanga vinanipa shida hiyo au nikila maandaz/chapati na chai bado kiungulia nakisikia.

Kuna mtu akanambia nitumie vitunguu maji, karafuu na mdalasini ndani ya wiki moja nitakuwa vizur, navyo nimetumia lakini bado sijaona mabadiliko, nilichobakia nacho sasa nachotumia kama mbadala wa kiungulia ni majivu ya moto, mara tu baada ya kula huwa natumia majivu, lakini sasa majivu yananiletea kikohoz kwa sababu ya vumbi lake. Nalo naona muda sio mrefu taacha kutumia majivu.

Naomben msaada wenu wa kimawazo nifanye nini kukabiliana na hili tatizo linalonisibu

Nawasilisha.
 
Chukua bicarbonate of soda/baking soda (usichanganye na baking powder ni vitu viwili tofauti) changanya kijiko kimoja na maji safi kwenye glass (itafoka kama gesi ya soda) halafu kunywa. Ndani ya sekunde kadhaa tu kiungulia kinapotea

Sio wa kwa kuhadithiwa, nimetumia mimi mwenyewe na imenisaidia.
 
Habari za muda huu wanabodi.

Nimekuwa ni nikisumbuliwa na tatizo la "kiungulia" kwa muda mrefu, nimeenda referral hospital, wakanipima wakanambia ni dalili za awali za ulcers, walinipatia dawa nimetumia miezI mitatu nimemaliza lakini bado sijaona mabadiliko.

Mwanzo nilkuwa nikila vyakula vyenye asidi kali kama vile maziwa mgando, dagaa, nyanya zilizopikwa, viazi vitamu n.k vinaniletea shida sana, kiungulia kinazid mno.

Lakini sasa imeenda mbali zaidi hata nikila vifungua kinywa kama vile viazi mviringo (ulaya) vya kukaanga vinanipa shida hiyo au nikila maandaz/chapati na chai bado kiungulia nakisikia.

Kuna mtu akanambia nitumie vitunguu maji, karafuu na mdalasini ndani ya wiki moja nitakuwa vizur, navyo nimetumia lakini bado sijaona mabadiliko, nilichobakia nacho sasa nachotumia kama mbadala wa kiungulia ni majivu ya moto, mara tu baada ya kula huwa natumia majivu, lakini sasa majivu yananiletea kikohoz kwa sababu ya vumbi lake. Nalo naona muda sio mrefu taacha kutumia majivu.

Naomben msaada wenu wa kimawazo nifanye nini kukabiliana na hili tatizo linalonisibu

Nawasilisha.
Ushauri uo apo
IMG-20230419-WA0016.jpg
IMG-20230419-WA0013.jpg
IMG-20230419-WA0012.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Habari za muda huu wanabodi.

Nimekuwa ni nikisumbuliwa na tatizo la "kiungulia" kwa muda mrefu, nimeenda referral hospital, wakanipima wakanambia
Kuna watu watakushauri tumia hiki tumioa kile, ila mimi nashauri utafute sababu kwanza ya hali hiyo kutokea. Na sehemu nzuri ni hospital. Hata kama ulienda hospital lakini rudi tena na vizuri zaidi uonane na dr mwingine au ubadilishe hoapital na hakikisha unaenda hospital inayoeleweka. Kuna dawa ningeweza kukushauri utumie lakini siku zote kutumia dawa bila kujua chanzo cha tatizo ni makosa. Nenda kafanye vipimo na ikiwezekana fanya gastroscopy, uone. Ni darubini wanaingiza kinywani inaingia mpaka kwenye tumbo kuangalia una tatizo gani.
 
Kuna watu watakushauri tumia hiki tumioa kile, ila mimi nashauri utafute sababu kwanza ya hali hiyo kutokea. Na sehemu nzuri ni hospital. Hata kama ulienda hospital lakini rudi tena na vizuri zaidi uonane na dr mwingine au ubadilishe hoapital na hakikisha unaenda hospital inayoeleweka. Kuna dawa ningeweza kukushauri utumie lakini siku zote kutumia dawa bila kujua chanzo cha tatizo ni makosa. Nenda kafanye vipimo na ikiwezekana fanya gastroscopy, uone. Ni darubini wanaingiza kinywani inaingia mpaka kwenye tumbo kuangalia una tatizo gani.
Asante sana mkuu
 
Habari za muda huu wanabodi.

Nimekuwa ni nikisumbuliwa na tatizo la "kiungulia" kwa muda mrefu, nimeenda referral hospital, wakanipima wakanambia ni dalili za awali za ulcers, walinipatia dawa nimetumia miezI mitatu nimemaliza lakini bado sijaona mabadiliko.

Mwanzo nilkuwa nikila vyakula vyenye asidi kali kama vile maziwa mgando, dagaa, nyanya zilizopikwa, viazi vitamu n.k vinaniletea shida sana, kiungulia kinazid mno.

Lakini sasa imeenda mbali zaidi hata nikila vifungua kinywa kama vile viazi mviringo (ulaya) vya kukaanga vinanipa shida hiyo au nikila maandaz/chapati na chai bado kiungulia nakisikia.

Kuna mtu akanambia nitumie vitunguu maji, karafuu na mdalasini ndani ya wiki moja nitakuwa vizur, navyo nimetumia lakini bado sijaona mabadiliko, nilichobakia nacho sasa nachotumia kama mbadala wa kiungulia ni majivu ya moto, mara tu baada ya kula huwa natumia majivu, lakini sasa majivu yananiletea kikohoz kwa sababu ya vumbi lake. Nalo naona muda sio mrefu taacha kutumia majivu.

Naomben msaada wenu wa kimawazo nifanye nini kukabiliana na hili tatizo linalonisibu

Nawasilisha.
Pole sna, jaribu kula matango kila unapopata hali ya kiungulia, huwa linasaidia kutuliza

Kwa ushauri zaidi muone daktari
 
Chukua bicarbonate of soda/baking soda (usichanganye na baking powder ni vitu viwili tofauti) changanya kijiko kimoja na maji safi kwenye glass (itafoka kama gesi ya soda) halafu kunywa. Ndani ya sekunde kadhaa tu kiungulia kinapotea

Sio wa kwa kuhadithiwa, nimetumia mimi mwenyewe na imenisaidia.
Asante mkuu,naitumiaje kila siku au mara moja tu?
 
Asante mkuu,naitumiaje kila siku au mara moja tu?
Kila pale unapohisi kiungulia.

Kwa mimi nikitumia mara moja nasahau kabisa kiungulia kwa siku hiyo.

Nilikuwa na kiungulia kibaya kiasi cha kupaliwa usingizini jinsi kinavyochemka.
 
Pole mkuu ila angalia pia sababu ni nn ili uweze kutibu tatizo...kwa ushauri wangu wa haraka haraka...anza kula matango mara kwa mara kama ulivyoshauriwa apo juu...pia tafuta kuna mmea wahaya wanauita kashwagala sijui kwa kiswahili unaitwaje,utachemsha kisha unakunywa kikombe kimoja km chai and then embu uone hali yako itakuwaje...ugua pole
 
Habari za muda huu wanabodi.

Nimekuwa ni nikisumbuliwa na tatizo la "kiungulia" kwa muda mrefu, nimeenda referral hospital, wakanipima wakanambia ni dalili za awali za ulcers, walinipatia dawa nimetumia miezI mitatu nimemaliza lakini bado sijaona mabadiliko.

Mwanzo nilkuwa nikila vyakula vyenye asidi kali kama vile maziwa mgando, dagaa, nyanya zilizopikwa, viazi vitamu n.k vinaniletea shida sana, kiungulia kinazid mno.

Lakini sasa imeenda mbali zaidi hata nikila vifungua kinywa kama vile viazi mviringo (ulaya) vya kukaanga vinanipa shida hiyo au nikila maandaz/chapati na chai bado kiungulia nakisikia.

Kuna mtu akanambia nitumie vitunguu maji, karafuu na mdalasini ndani ya wiki moja nitakuwa vizur, navyo nimetumia lakini bado sijaona mabadiliko, nilichobakia nacho sasa nachotumia kama mbadala wa kiungulia ni majivu ya moto, mara tu baada ya kula huwa natumia majivu, lakini sasa majivu yananiletea kikohoz kwa sababu ya vumbi lake. Nalo naona muda sio mrefu taacha kutumia majivu.

Naomben msaada wenu wa kimawazo nifanye nini kukabiliana na hili tatizo linalonisibu

Nawasilisha.
Kuna huu ushauri naturally jaribuu kuungalia unaweza kukusaidiaaa mkuu.

 
Pole mkuu ila angalia pia sababu ni nn ili uweze kutibu tatizo...kwa ushauri wangu wa haraka haraka...anza kula matango mara kwa mara kama ulivyoshauriwa apo juu...pia tafuta kuna mmea wahaya wanauita kashwagala sijui kwa kiswahili unaitwaje,utachemsha kisha unakunywa kikombe kimoja km chai and then embu uone hali yako itakuwaje...ugua pole
Dawa ya kiungulia pitia hapo.

 
Pole mkuu ila angalia pia sababu ni nn ili uweze kutibu tatizo...kwa ushauri wangu wa haraka haraka...anza kula matango mara kwa mara kama ulivyoshauriwa apo juu...pia tafuta kuna mmea wahaya wanauita kashwagala sijui kwa kiswahili unaitwaje,utachemsha kisha unakunywa kikombe kimoja km chai and then embu uone hali yako itakuwaje...ugua pole
Asante sana barikiwa
 
Dawa ya kiungulia pitia hapo.

Shukran sana
 
Back
Top Bottom