Nasumbuliwa na tatizo la genital warts

chaz beezz

JF-Expert Member
Nov 26, 2020
217
841
Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.

Je, ni dawa gani inaweza nisaidia nikapona tatizo la genital warts, kwa wake ambao mshapatwa na tatzo hili mlitumia dawa gani mkapona?

Msaada please madokta
 
Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.

Je, ni dawa gani inaweza nisaidia nikapona tatizo la genital warts, kwa wake ambao mshapatwa na tatzo hili mlitumia dawa gani mkapona?

Msaada please madokta
Piga 255-719196408 upate tiba karibu.
 
Ziko tiba mbalimbali ikiwemo 1. Kuchoma kwa baridi (cryotherapy) ambayo inapatikana baadhi ya hospitali kitengo cha magonjwa ya ngozi, 2. Dawa za kupaka zinazochoma hivyo vifundofundo ila kuna maelekezo maalum ya kufuata na inachukua muda kiasi kwenye matibabu yake. Kwa ushauri, nenda hospitali kubwa yenye kitengo kikubwa cha ngozi
 
Nimeanza kupata dalili za genital warts sehemu za siri kwenye shina la uume kuota vinyama (visundo sundo vidogo), nimejaribu dawa lakina bado sijapata matokeo mazuri.

Je, ni dawa gani inaweza nisaidia nikapona tatizo la genital warts, kwa wake ambao mshapatwa na tatzo hili mlitumia dawa gani mkapona?

Msaada please madokta
Weka Picha, ingefaa Zaidi,

Isije ikawa Herpes zoster, maana zina mfanano fulani.
 
Naomba kuwasilisha

Ni zipi tiba za ugonjwa wa genital wart (vinyama pembeni mwa uke )...!

Je, ni surgery?
Dawa za kupaka?
Au kuna tiba asili za kuondoa hizi mambo maana inafikia wakati hata kutengea ni shida na hata kukaa pia.

Karibuni wajuzi.
 
Kama ni vya ndani vile, Kuna walele wamama WA zamani ama wabibi Huwa wanavokata na kudawa wanapaka visirudie tena na nasikia hata hospitari wanakata na kuchomelea na umeme
Nimesimuliwa hivyo mke jamani
Kwa lugha Yao wanaviita viposa na nasikia kama una mtoto mdogo vinafanya awe anaumwa anaumwa( ni Imani Sina wakika)
 
Naomba kuwasilisha

Ni zipi tiba za ugonjwa wa genital wart (vinyama pembeni mwa uke )...!

Je ni surgery?
Dawa za kupaka?
Au kuna tiba asili za kuondoa hizi mambo maana inafikia wakati hata kutengea ni shida na hata kukaa pia.

Karibuni wajuzi.
Ufike hospitalini upate Matibabu ,Mara nyingi husababishwa na HPV -Human papilloma viruses . Matibabu yapo ya dawa na cauterization lakini utahitajika kufanya vipimo zaidi vinavyo endana na hiyo condition.
 
Ufike hospitalini upate Matibabu ,Mara nyingi husababishwa na HPV -Human papilloma viruses . Matibabu yapo ya dawa na cauterization lakini utahitajika kufanya vipimo zaidi vinavyo endana na hiyo condition.
It's always caused by Human Papilloma Virus (HPV)
 
Ugonjwa huu kiswahili hujulikana kama Masundosundo, huweza kuonekana kuanzi mwezi 1 hadi miezi 6 au hata baada ya mwaka kulingana na Uimara wa Kinga mwili wa mtu na mtu.
Kama ilivyo kwa magonjwa mengine ya zinaa ugonjwa huu pia huenezwa kwa kufanya ngono isiyotumia kinga na mtu ambae amekwisha ambukizwa.
Vipimo ili kuthibisha dalili/malalamiko ya mteja au mgonjwa ni:-
HPV test
Physical or site examination kwenye njia ya haja ndogo kwa wanawake au njia njia ya haja kubwa kwa wote na vilevile kuzunguka korodani kwa mwanaume.
Matibabu yamegawanyika na hutegemeana na ulivyoathirika na ugonjwa lakini kuna matibabu ya kutumia cream, vidongea, mafuta na vilevile upasuaji.

Kumbuka kupimwa mapema huweza kukusaidia kujua pia ikiwa una dalili au umeathirika na Kansa ya shingo ya mlango wa kizazi kwa wanawake hasa wa kuanzia miaka 30 na kuendelea
 
Back
Top Bottom