Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Daa mbona kama Mim isee.... Maana nina miadi ya kuja Dsm kwa dada mmoja.. Na lengo ni tunda... Kwa handle yako ni wew kabisaa.
Najua tumeongea mengi kuhusu biashara ila mbususu inanisukuma zaid kuja mwisho wa Mwezi huu
Kama akiwa mtamu uje utupe mrejesho ili na sisi tumuunge mkono dada yetu kwenye hy biashara yake
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo Kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwaajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa Sina uhakika Kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio niMpe tunda

Ushaurii tafadhar namna ya kumkacha
Kama wewe ni bikira sawa usimpe ila kama siyo bikira basi ulisha vulia wanaume chupi sana tuu uko nyuma kwahiyo we endeleza tuu, mpeeee maana ni mpenzi wako sasa hivi kama ana kupenda Kweli sawa kama hakupendi Kweli ni sawa. Upendo wa mtu haupimwi kwa kumvulia chupi au kumnyima kitumbua.
 
Jambo moja nakushari na uzingatie.
Set akili yako siyo kwenye tendo Bali matendo yako, tabia yako inaweza kumshawishi mwanaume kuwa nawe maisha yake yote au kwa huo muda wa siku saba ataoa wewe hutastahili kuwa mama wa watoto wake. Fikiria mbali zaidi kuliko tendo lenyewe maana unaweza kutoa na bado tabia zako zisimshawishi mwanaume kwa maisha ya kudumu. Ona mbali.
 
Umenikumbusha mkasa mmoja

Kuna siku kuna Sista alikua anasimulia alikua na kibwana kimoja dereva wa Malori basi kipindi chote yapata Miezi 6 Jamaa alikua hajawahi kumgonga sasa huyo Sista akawa amemuomba Jamaa zawadi ya Simu, Jamaa akamwambia akirudi toka Zambia anamletea Simu watakutana sehemu basi siku zikasogea kweli siku ikafika Jamaa akarudi wakapanga wakutane 'Villa Hotel' Mawasiliano Simu 2000,

Kweli bibie akaenda mpaka Chumba Namba 10 wakawa wamepiga story za hapa na pale anampa zawadi yake ya Simu akafurahi sana Simu nzuri akaiset pale kila kitu wakatoka wakaenda kula chini tu pale kuna sehemu ya chakula baada ya kula wakapanda tena juu,

Sasa Sista akaenda kuoga akamaliza akarudi akamwambia Jamaa akaoge basi Jamaa akaenda kuoga aliporudi akarudi bila taulo Konga la Tembo 🍆 lipo nje nje tayari kwa shughuli

Sista ikabidi aishiwe pumzi na kuanza kumuomba Jamaa asimgonge,

Jamaa akamuuliza kwanini akasema lile Konga haliwezi ni kubwa sana basi Jamaa hakua na hiana akakubari hakufanya tamaa akasema Sawa basi tutalala hadi asubuhi bila kufanya chochote

Subiri inaendelea...
Ha haaa
Na hii ndo itamtokea huyu mwenzetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom