Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo Kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwaajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa Sina uhakika Kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio niMpe tunda

Ushaurii tafadhar namna ya kumkacha
Fanya kila namna muoane kabla ya ijumaa ya wiki hii
 
Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi

Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu

Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda

Sasa ni hivi anakuja huku nilipo Kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwaajili yangu

Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa Sina uhakika Kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki

Yaani nasubirii awe mume ndio niMpe tunda

Ushaurii tafadhar namna ya kumkacha
Utasubiri sana, labda wale wanaosali TAG wanaweza kuvumilia mpaka waoe. Hiyo papuchi utazeeka nayo unasubiri 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom