- Thread starter
- #41
usipoteze muda wa huyo kijana wewe tengeneza uhusiano na kaka yako maana ndiyo mahusiano unayoyahitaji.
usipoteze muda wa huyo kijana wewe tengeneza uhusiano na kaka yako maana ndiyo mahusiano unayoyahitaji.
Labda kama huyo mwamba katokea sayari nyingine nani wa kuuziwa mbuzi kwenye gunia ndoa bila kujua kama yaliyomo yamo..
Ni miaka hiyo wazee walikuwa wanasubiri baada ya ndoa..
Umejuaje mdogo angu?Dudu anayo ya kunitosha mimi
Wewe ni dume unaejifanya mwanamke.
Huo uandishi ni wa kijana wa ovyo wa kiume.
Ulijua Je wakati ndio kwanza anakujaDudu anayo ya kunitosha mimi
Vaa chupi nyeupe pedi wekea tomato
Nagambaki😂😂😂Otikiii Otikiiii😆😆
Ulijua Je wakati ndio kwanza anakuja
Umejuaje mdogo angu?
Fanya kila namna muoane kabla ya ijumaa ya wiki hiiNina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi
Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu
Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda
Sasa ni hivi anakuja huku nilipo Kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwaajili yangu
Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa Sina uhakika Kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki
Yaani nasubirii awe mume ndio niMpe tunda
Ushaurii tafadhar namna ya kumkacha
Sio kila mahusiano lazima yaishie kwenye ndoa, wewe mpe tu ila usimpe stlye zote. Unaweza ukampa tu kifo cha mende.
Fanya kila namna muoane kabla ya ijumaa ya wiki hii
Hongera Kwa kulilinda tunda.
Sasa mdogo wangu..Yaani hata Kama ndio nikitembeze kwa kila mtu et kisa sio
La mtoa mada ni shimo
Nyie madogo; hii siyo poa!la mtoa mada ni bwawa😆
C mtaoana sasa shida iko wap
Utasubiri sana, labda wale wanaosali TAG wanaweza kuvumilia mpaka waoe. Hiyo papuchi utazeeka nayo unasubiri 😂Nina mahusiano mapya na huyo Kijana miezi kama 6 hivi
Sijawah kunyanduana nae na sijawah kumuomba hela kifupi hatujawahi kupeana chochote zaidii ya maneno matupu
Huyo kijana mimi nampenda na ningetamani awe mume hapo baadae Kama Mungu akipenda
Sasa ni hivi anakuja huku nilipo Kama unavojua lazima atake papuchi maana anakuja kwaajili yangu
Nipeni mbinu ya kumkataa nisilale nae yaani nisifanye nae sex… ni hivi sitaki kusex nae kwa sasa na wala sitaki pesa yake yote ni kwa kuwa Sina uhakika Kama tutaoana sasa kuvulia vulia wanaume chupi sitaki
Yaani nasubirii awe mume ndio niMpe tunda
Ushaurii tafadhar namna ya kumkacha