Mlivyokuwa mnaniponda nakuwa jukwaa gani?MxAngalia uko jukwaa gani dogo
unataka kusema huyu jamaa amekuzidi? Lol...Kuna watu wananiponda sana kuwa na post upupu,ila kuna mijitu imezidi,Mx
unataka kusema huyu jamaa amekuzidi? Lol...
Elfu tisini tu hizo, hivi mpaka leo huna hizo? basi hata mababu hawajaacha urithi? au uchumi unao lakini unaukalia?
Maana kuna shemeji yangu mmoja kaachiwa Ng'ombe kama 400 huko Dodoma vijini lakini amini usiamini siku zote hana hela.
mie mzima kabisa namshukuru aliye juu..weye ndo rafiki ntakugandaje!Usijali nitakupa hata mabunda mawili, mzima weye lakini bi shosti
inategemea na kiasi mpendwa....Nikizipata hizi twende tukaspend wapi bi shoti