Sio kujileta, we just want to make sure kama jamaa still ana tail tag
Ukimpga sound mara ya kwanza anakutolea nje,ukimchunia cku mbili tatu,anaanza kujileta mwenyewe!niwaeleweje?
thread ipi hyo mkuu?
Tuna observe kama kweli interest ipo au vipi.. Umekataliwa kidogo tu ushakata tamaa heh!
Just making sure kama still interest ipo au haipo, na hata kama ipo haimaanishi kama anakutaka pia. Its just we love the chase, mbwa si lazima awe anataka kuendesha gari anapolikimbiza.naomba mwongozo hiyo ni nini kabla sijatoa maoni yangu MadameX
Senator soma hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/227482-hivi-mnajua-au-hamjui-bado.htmlthread ipi hyo mkuu?
Just making sure kama still interest ipo au haipo, na hata kama ipo haimaanishi kama anakutaka pia. Its just we love the chase, mbwa si lazima awe anataka kuendesha gari anapolikimbiza.
Umekataliwa kidogo tu ushakata tamaa heh!
kumbe ukikataliwa huna sababu ya ku-conclude kwamba umekataliwa eeh? ni ngumu kidogo kupata mantiki but sasa naanza kuelewa kwa nini baadhi ya wanaume huwa wanakuwa ving'ang'anizi wanapoamua kumvalia njuga binti..
Amina...how long does it take? I mean kufanya observation na maamuzi kama kukubali au kukataa...afu kukataliwa 'kidogo tu' inamaanisha nini....
Ukimpga sound mara ya kwanza anakutolea nje,ukimchunia cku mbili tatu,anaanza kujileta mwenyewe!niwaeleweje?
sasa Amina ni mara nisubiri unikatae ndo nianze kukata tamaa ???