kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
binafsi ni kama kaugonjwa fulani hivi,nilipokua na mpenz wangu huwa naweza fanya sex zaidi ya mara tano hadi sita,hii hutokea pale ninapomuita na akaja bila purukushani ya aina yeyote ile.tatizo linalonikabiki ni pale ninapokua na hamu nae kwa nmuda mrefu na kumwita,anapokuja na kunizungusha kwa maneno mf leo cpo tayari au usiguse leo huwa natumia nguvu kubwa kumbembeleza na akikubali huwa nafanya na kuishia goli moja na nikitaka kuendelea huwa siwezi kwani mzee hushindwa kusimama kabisa,naombeni ushauri ili hili tatizo liishe jamani