Nashauri Zitto apunguziwe majukumu

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Yeye ni..
  • Naibu Katibu Mkuu wa Chama
  • Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC)
  • Mbunge
  • Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni
  • Waziri Kivuli wa Fedha.
Vyeo vyote hivi kwa mtu mmoja vya nini.

Haya ni mjukumu mazito sana kwa mtu mmoja kuyatimiza kwa ufanisi hata kama atatimiza ni busara kubaki na cheo kimoja au viwilli ili kuachia vijana wengine nao wajenge vipaji vyao. Chama kiangalie faida na hasara ya kulundika vyeo kwa mtu mmoja kuna siku ambayo haijulikani mtu huyo anaweza asiwepo au akaamua kupumzika siasa au kuhama chama na kuacha pengo ambalo kuzibwa kwake kutachukua muda mrefu.

Nashauri Zitto abaki na vyeo viwili, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) na Ubunge.

Nawasilisha.
 
Umenena vema ,lakini navyotazama unaibu kiongozi wa kambi ya upinzani na uwaziri kivuli fedha,sidhani kama ni inshu sana kwa maana kwamba siyo ofisi za kumbana sana,nguvu kubwa ailekeze kwny kujenga chama,kuwatumikia wananchi waliomchagua,na kutufumbua macho namna mashirika ya umma yanavyovurunda na kufuja rasilimali zetu,binafsi naona bado anaweza ku manage.
 
Mimi si kwamba nasema apunguziwe tu bali anyang'anywe madaraka kwa sababu ameonekana kukisaliti chama, kama wabunge hawamtaki wazee hawamtaki nafikiri hata vijana kina Heche watamtenga kwanini chama kiendelee kumlea eti apunguziwe if i were me kamati kuu ningemsimamisha kazi zote mara moja wakati tuhuma zikichunguzwa.
 
Yeye ni..
  • Naibu Katibu Mkuu wa Chama
  • Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC)
  • Mbunge
  • Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni
  • Waziri Kivuli wa Fedha.
Vyeo vyote hivi kwa mtu mmoja vya nini.

Haya ni mjukumu mazito sana kwa mtu mmoja kuyatimiza kwa ufanisi hata kama atatimiza ni busara kubaki na cheo kimoja au viwilli ili kuachia vijana wengine nao wajenge vipaji vyao. Chama kiangalie faida na hasara ya kulundika vyeo kwa mtu mmoja kuna siku ambayo haijulikani mtu huyo anaweza asiwepo au akaamua kupumzika siasa au kuhama chama na kuacha pengo ambalo kuzibwa kwake kutachukua muda mrefu.

Nashauri Zitto abaki na vyeo viwili, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) na Ubunge.

Nawasilisha.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,orodha ya vyeo ulivyovitaja hamna cha kupunguziwa wala kunyang'anywa naibu katibu amegombea kwa kuthubutu yeye mwenyewe na subiri uchaguzi wa chama okota fomu gombea hicho cheo kama unaona mzigo kwake,waziri kivuri amechaguliwa na chama hawezi kukikataa na unamuona anafiti,mwenyekiti wa kamati kathubutu yeye mwenyewe kugombea bungeni,ubunge pia,kwa matiki cheo kimoja tu cha uwazir kivuli ndio achopewa vyote kapambana yeye mwenyewe wivu unautoa wapi?ushauri wangu popote utakapo sikia zito kagombea nenda kachukue fomu upambane nae na sio kuongea nje ya fence hayo ni majungu na hayatakupeleka popote
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,orodha ya vyeo ulivyovitaja hamna cha kupunguziwa wala kunyang'anywa naibu katibu amegombea kwa kuthubutu yeye mwenyewe na subiri uchaguzi wa chama okota fomu gombea hicho cheo kama unaona mzigo kwake,waziri kivuri amechaguliwa na chama hawezi kukikataa na unamuona anafiti,mwenyekiti wa kamati kathubutu yeye mwenyewe kugombea bungeni,ubunge pia,kwa matiki cheo kimoja tu cha uwazir kivuli ndio achopewa vyote kapambana yeye mwenyewe wivu unautoa wapi?ushauri wangu popote utakapo sikia zito kagombea nenda kachukue fomu upambane nae na sio kuongea nje ya fence hayo ni majungu na hayatakupeleka popote
Hivi unaibu katibu aligombea na nani na unaibu KUB na unaibu......................duh......
 
Tuache majungu ni jukumu gani kati ya hayo manne ambalo ameshindwa kulitekeleza?au kwa sababu anawabana mawazili na watendaji vilaza wa serikali waliopewa vyeo kiushemeji,kiushkaji na kindugu.taja mawazi wa5 ambao wanamfikia kiutendaji.jamaa anaweza kazi.kingine cdm inawatu ambao ni wachapakazi si watu wa kuonyesha vipaji vya uongozi.maonyesho yapo vyama vingine.pamoja
 
Tuache majungu ni jukumu gani kati ya hayo manne ambalo ameshindwa kulitekeleza?au kwa sababu anawabana mawazili na watendaji vilaza wa serikali waliopewa vyeo kiushemeji,kiushkaji na kindugu.taja mawazi wa5 ambao wanamfikia kiutendaji.jamaa anaweza kazi.kingine cdm inawatu ambao ni wachapakazi si watu wa kuonyesha vipaji vya uongozi.maonyesho yapo vyama vingine.pamoja
Umeelewa topic yangu lakini soma tena tatizo anaonekana mbinafsi kujilimbikizia madaraka inaonekana kama hapendi wenzake wawe kama yeye. Busara.
 
Mimi si kwamba nasema apunguziwe tu bali anyang'anywe madaraka kwa sababu ameonekana kukisaliti chama, kama wabunge hawamtaki wazee hawamtaki nafikiri hata vijana kina Heche watamtenga kwanini chama kiendelee kumlea eti apunguziwe if i were me kamati kuu ningemsimamisha kazi zote mara moja wakati tuhuma zikichunguzwa.
Mimimhapa siongelei usaliti wa chama naongelea majukumu aliyonayo awaachie na wengine wajifunze kama yeye.
 
Yeye ni..
  • Naibu Katibu Mkuu wa Chama
  • Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC)
  • Mbunge
  • Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni
  • Waziri Kivuli wa Fedha.
Vyeo vyote hivi kwa mtu mmoja vya nini.

Haya ni mjukumu mazito sana kwa mtu mmoja kuyatimiza kwa ufanisi hata kama atatimiza ni busara kubaki na cheo kimoja au viwilli ili kuachia vijana wengine nao wajenge vipaji vyao. Chama kiangalie faida na hasara ya kulundika vyeo kwa mtu mmoja kuna siku ambayo haijulikani mtu huyo anaweza asiwepo au akaamua kupumzika siasa au kuhama chama na kuacha pengo ambalo kuzibwa kwake kutachukua muda mrefu.

Nashauri Zitto abaki na vyeo viwili, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) na Ubunge.

Nawasilisha.

huyu mtu naona sio wa kutegemea kwenye mabadiliko tunayotarajia,,nahisi ni mnafiki asiyefaa,,atakuja kutuharibia
 
huyu mtu naona sio wa kutegemea kwenye mabadiliko tunayotarajia,,nahisi ni mnafiki asiyefaa,,atakuja kutuharibia
Chadema tunawaambia mapema wasicheke na nyani watakuja vuna mabua kadri wanavyochelea kumchukulia hatua ndivyo anavyozidi kukomaa hata kina Rostam walianza hivi hivi mwisho imekuwa vigumu kuwa chukulia hatua.
 
Umeelewa topic yangu lakini soma tena tatizo anaonekana mbinafsi kujilimbikizia madaraka inaonekana kama hapendi wenzake wawe kama yeye. Busara.

mimi naona mbinafsi ni wewe, kwani una wivu lakini huna uthubutu wa kugombea. subiri chaguzi ugombee, na kwa post za kuteuliwa subiri wateuaji wakiona una sifa na wewe watakuteuwa. Umeulizwa katika vyeo alivyonavyo kuna ambacho ameonesha udhaifu?
 
Umeelewa topic yangu lakini soma tena tatizo anaonekana mbinafsi kujilimbikizia madaraka inaonekana kama hapendi wenzake wawe kama yeye. Busara.
Kama unamaanisha wengine nao kupata ukomavu wa kisiasa kama yeye basi Mbowe naye amwache dogo agombee Umwenyekiti naye agrow.
 
Je unajua William Lukuvi ana vyeo vingapi? Hebu fanya research juu ya viongozi wa ccm ndo uongelee wa cdm
 
mimi naona mbinafsi ni wewe, kwani una wivu lakini huna uthubutu wa kugombea. subiri chaguzi ugombee, na kwa post za kuteuliwa subiri wateuaji wakiona una sifa na wewe watakuteuwa. Umeulizwa katika vyeo alivyonavyo kuna ambacho ameonesha udhaifu?

we sijui ukoje. Hoja zako zote,ukichangia unasema 'wivu'. Sijui uko vp,haunaga wazo jipya,ebu angalia michango yako uone!
 
Back
Top Bottom