SilahaKutokana na watu kuzitumia kufichia siraha; Mabegi na nguo zifuatazo zipigwe marufuku mtu kwenda nazo eneo la bank ama kituo cha police.
1. Madila ya akina mama
2. Kanzu
3. Makoti makubwa.
4. Mabegi ya kianafunzi yakaguliwe
5. Ushungi na mabaibui (NINJA)
6. Uvaaji wa misuli n.k
....USALAMA KWANZA......
Mkuu naomba uniambie je, hizi silaha zinahitaji Dera,baraghashia,kanzu,misuli au baibui ???Kutokana na watu kuzitumia kufichia siraha; Mabegi na nguo zifuatazo zipigwe marufuku mtu kwenda nazo eneo la bank ama kituo cha police.
1. Madila ya akina mama
2. Kanzu
3. Makoti makubwa.
4. Mabegi ya kianafunzi yakaguliwe
5. Ushungi na mabaibui (NINJA)
6. Uvaaji wa misuli n.k
....USALAMA KWANZA......
Wateja wa kuu wa bidhaa za matunda na mihogo mibichi zibebwazo kwenye mabeseni. Akianza kula na kutongoza muuzaji anasahau kabisa na kazi yake.Swala kuu hapa ni ku improve security ya kila mahala ambapo ni sensitive eg. Kuweka CCTV, kukagua wateja wote kwa kutumia metal sensor, pia kupata mafunzo sahihi ya intelejensia ili kuwatambua wahalifu kabla hawajaharibu na kuacha uzembe wa mazoea, wakati mwingine unakuta walinzi wote wamejifungia kwenye kibanda wakila story badala ya kufanya ulinzi, walinzi wengine wanafakamia michips ya mtaani na mwisho huleweshwa na kuibiwa etc
Ohooooooo..., n'jomba unatafuta ugomvi na watu sasa....Kutokana na watu kuzitumia kufichia siraha; Mabegi na nguo zifuatazo zipigwe marufuku mtu kwenda nazo eneo la bank ama kituo cha police.
1. Madila ya akina mama
2. Kanzu
3. Makoti makubwa.
4. Mabegi ya kianafunzi yakaguliwe
5. Ushungi na mabaibui (NINJA)
6. Uvaaji wa misuli n.k
....USALAMA KWANZA......
Angalia hii vdo clip jamaa kabeba zana za kutosha! Je Kavaa kanzu?Kutokana na watu kuzitumia kufichia siraha; Mabegi na nguo zifuatazo zipigwe marufuku mtu kwenda nazo eneo la bank ama kituo cha police.
1. Madila ya akina mama
2. Kanzu
3. Makoti makubwa.
4. Mabegi ya kianafunzi yakaguliwe
5. Ushungi na mabaibui (NINJA)
6. Uvaaji wa misuli n.k
....USALAMA KWANZA......
Ufaransa wamepiga marufuku wanawake kuvaa hijab/nikabu wakiwa ufukweni.....teh teh teh teh.Kutokana na watu kuzitumia kufichia siraha; Mabegi na nguo zifuatazo zipigwe marufuku mtu kwenda nazo eneo la bank ama kituo cha police.
1. Madila ya akina mama
2. Kanzu
3. Makoti makubwa.
4. Mabegi ya kianafunzi yakaguliwe
5. Ushungi na mabaibui (NINJA)
6. Uvaaji wa misuli n.k
....USALAMA KWANZA......
TAIFA LIMEHARIBIKA DINI IMETUMIKA VIBAYA NA KILA MDOMO WENYE BAYA UNA NENO DINI TUMEKWISHAKutokana na watu kuzitumia kufichia siraha; Mabegi na nguo zifuatazo zipigwe marufuku mtu kwenda nazo eneo la bank ama kituo cha police.
1. Madila ya akina mama
2. Kanzu
3. Makoti makubwa.
4. Mabegi ya kianafunzi yakaguliwe
5. Ushungi na mabaibui (NINJA)
6. Uvaaji wa misuli n.k
....USALAMA KWANZA......