jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
To Whom it may concern...!
Nashauri iundwe timu ya wazalendo wa kweli wa nchi hii itakayotembea mikoa yote na kuongea kwenye vipindi mbalimbali vya televisheni na radio.
Timu hiyo ijikite katika kuzungumzia uadilifu wa viongozi na kupinga mafisadi kiwania dola katika nchi yetu Takatifu.
Wajumbe wa Timu hii sitaki kuwataja lakini wazalendo mnawajua.
Hii ni kutokana na hali ya mambo yalivyo sasa ambapo watanzania wamechanganywa baada ya kuona mafisadi wakisafishwa na waadilifu kutukanwa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nashauri iundwe timu ya wazalendo wa kweli wa nchi hii itakayotembea mikoa yote na kuongea kwenye vipindi mbalimbali vya televisheni na radio.
Timu hiyo ijikite katika kuzungumzia uadilifu wa viongozi na kupinga mafisadi kiwania dola katika nchi yetu Takatifu.
Wajumbe wa Timu hii sitaki kuwataja lakini wazalendo mnawajua.
Hii ni kutokana na hali ya mambo yalivyo sasa ambapo watanzania wamechanganywa baada ya kuona mafisadi wakisafishwa na waadilifu kutukanwa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!