kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Askari ma gereza wamemfuata FREEMAN Mbowe, anahitajika ofisini kwa Jaji katika kikao cha pamoja na mawakili wa pande zote (serikali na utetezi), Washtakiwa wengine watatu bado wamebakia kizimbani.
Hapa Kuna utata na mahakama imeshindwa kabisa kusimamia Haki, ushahidi wa Upande wa utetezi unaonyesha Hawa askari makomando walipandikizwa kwenda Kwa Mbowe na walipobaini Kwamba Kuna viashiria vya uhalifu wakamjulisha Urio na ukamataji ukafanyika. Kwa hiki kilichotokea Leo mahakamani unabaini Kwamba mahakama na serikali vimeshindwa kutafsiri Hii kesi.
1. Kama maelezo ya watuhumiwa walikiri kwanini Leo wawekwe pamoja na Mhe. Mbowe?
2. Kama walikiri na wakasimama na Jamuhuri Mbowe afungwe kwanini Mbowe awe mtetezi wa watu ambao Jamhuri inatuaminisha ni maadui wa Mbowe?
3. Haki ya kula ni ya wote, nani amemwambia Mhe. Jaji Kwamba watuhumiwa watatu wanakubaliana na kauli ya Mbowe?
Ni kitu Gani kilichomkata Mhe. Jaji kuuliza mtuhumiwa mmojammoja kama kauli ya Mbowe ni kweli au so kweli? Au Mhe. Jaji alikuwa anatambua kinachoendelea akajifanya hajui?
Kwa upande wa mawakili wa upande wa serikali, kwanini awakupinga kauli ya Mbowe Kwamba Wana miezi mitano awali? Means wao walijua lakini wakaona ni sawa? Kwamba mawakili wa serikali walishindwa kuomba Mhe. Jaji ajiridhishe?
Mwisho, kitendo cha Jaji kujifanya afahamu watuhumiwa awali na wakati Kila siku anakaa nao Hadi saa Kumi na Moja si Jambo la kibinadamu Bora angekaa Kimya. Kibaya Zaidi badala akae Kimya anataka kumrushia mpira kibatala wakati Msajili amepelekewa Hiyo taarifa akaikalia.
Hata kama awa watu ni magaidi kama mnavyotaka jamii iamini haikuwa sahihi kuwanyima chakula. Masaa ishirini na nne watu wanakunywa uji kikombe kimoja kisa CHUKI za Kisiasa na mnataka watu waamini Tanzania tunapendana? Watu wapate magonjwa wafe kisa chakula? Its painfull
Hapa Kuna utata na mahakama imeshindwa kabisa kusimamia Haki, ushahidi wa Upande wa utetezi unaonyesha Hawa askari makomando walipandikizwa kwenda Kwa Mbowe na walipobaini Kwamba Kuna viashiria vya uhalifu wakamjulisha Urio na ukamataji ukafanyika. Kwa hiki kilichotokea Leo mahakamani unabaini Kwamba mahakama na serikali vimeshindwa kutafsiri Hii kesi.
1. Kama maelezo ya watuhumiwa walikiri kwanini Leo wawekwe pamoja na Mhe. Mbowe?
2. Kama walikiri na wakasimama na Jamuhuri Mbowe afungwe kwanini Mbowe awe mtetezi wa watu ambao Jamhuri inatuaminisha ni maadui wa Mbowe?
3. Haki ya kula ni ya wote, nani amemwambia Mhe. Jaji Kwamba watuhumiwa watatu wanakubaliana na kauli ya Mbowe?
Ni kitu Gani kilichomkata Mhe. Jaji kuuliza mtuhumiwa mmojammoja kama kauli ya Mbowe ni kweli au so kweli? Au Mhe. Jaji alikuwa anatambua kinachoendelea akajifanya hajui?
Kwa upande wa mawakili wa upande wa serikali, kwanini awakupinga kauli ya Mbowe Kwamba Wana miezi mitano awali? Means wao walijua lakini wakaona ni sawa? Kwamba mawakili wa serikali walishindwa kuomba Mhe. Jaji ajiridhishe?
Mwisho, kitendo cha Jaji kujifanya afahamu watuhumiwa awali na wakati Kila siku anakaa nao Hadi saa Kumi na Moja si Jambo la kibinadamu Bora angekaa Kimya. Kibaya Zaidi badala akae Kimya anataka kumrushia mpira kibatala wakati Msajili amepelekewa Hiyo taarifa akaikalia.
Hata kama awa watu ni magaidi kama mnavyotaka jamii iamini haikuwa sahihi kuwanyima chakula. Masaa ishirini na nne watu wanakunywa uji kikombe kimoja kisa CHUKI za Kisiasa na mnataka watu waamini Tanzania tunapendana? Watu wapate magonjwa wafe kisa chakula? Its painfull