Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Hii amani unayoiona na yenye kutuwezesha kuwasiliana humu jukwaani chanzo chake ni nguvu za Mungu. Chanzo chake ni nchi kukabidhiwa mikononi mwa Mungu tangu tarehe 8 Desemba 1961. Huo ndio umuhimu wa wale viongozi wa dini uliowaona ndani ya ule ukumbi.Kwa mtazamo wako upo sahihi kulingana na mfumo unakuendesha (siujui) Ukweli viongoziozi wa dini wanao jielewa hawawezi kujiingiza katika mambo ya vyama (mambo ya hovyo) tuweni wa kweli hao viongozi wamepotoka.
Kuna nchi za kiafrika hazina bahati ya kuwaona marais wastaafu wakipiga picha ya pamoja wakiwa wanacheka na kufurahi. Viongozi wa kidini wana nguvu za ndani ya nafsi zao na zile nguvu za nje, ni watu muhimu sio wa kuwadharau.