henry kilenga
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 1,329
- 1,117
Huyo wakatikati ni mshindi wa2 kura za maoni jimbo LA Kawe kupitia CCM.Siasa hiziiii!!!
Uzuri hakuna anayewasikilizaga MAFANIKIO HAYATAKIWI KUTANGAXA YANAJITANGAZA YENYEWETaarifa hii imetolewa na Alhaji Musa Salum ambaye ni Sheikh wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba eti viongozi wa dini wanatarajia kukutana tarehe 30 July jijini kwa lengo la kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5!
Taarifa inazidi kueleza kwamba Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaliwa.
Tangu lini viongozi wa dini wakawa wasemaji wa serikali? Hii mbona ni siasa ya kiwango cha chini sana! Sasa tukisema hawa viongozi njaa wa dini wakiwemo maaskofu kadhaa walioshuka hadhi wanatumika tutakuwa tunakosea?
Tutahakikisha tunahamasisha wananchi kupuuza kila kitakachojadiliwa na hawa mamluki bila kuchoka.
Ila yako inahusiana! Ahahahahaha! Kuwa nyumbu raha sana!Haihusiani hata chembe
we pinga wenzio wanalamba bahashaTaarifa hii imetolewa na Alhaji Musa Salum ambaye ni Sheikh wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba eti viongozi wa dini wanatarajia kukutana tarehe 30 July jijini kwa lengo la kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5!
Taarifa inazidi kueleza kwamba Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaliwa.
Tangu lini viongozi wa dini wakawa wasemaji wa serikali? Hii mbona ni siasa ya kiwango cha chini sana! Sasa tukisema hawa viongozi njaa wa dini wakiwemo maaskofu kadhaa walioshuka hadhi wanatumika tutakuwa tunakosea?
Tutahakikisha tunahamasisha wananchi kupuuza kila kitakachojadiliwa na hawa mamluki bila kuchoka.
huu ni uhuni na kujipendekeza,viongozi wa dini wa aina hii hawafai wataingiza nchi kwenye machafuko,hiyo kazi ni ya polepole siyo yaoTaarifa hii imetolewa na Alhaji Musa Salum ambaye ni Sheikh wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba eti viongozi wa dini wanatarajia kukutana tarehe 30 July jijini kwa lengo la kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5!
Taarifa inazidi kueleza kwamba Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaliwa.
Tangu lini viongozi wa dini wakawa wasemaji wa serikali? Hii mbona ni siasa ya kiwango cha chini sana! Sasa tukisema hawa viongozi njaa wa dini wakiwemo maaskofu kadhaa walioshuka hadhi wanatumika tutakuwa tunakosea?
Tutahakikisha tunahamasisha wananchi kupuuza kila kitakachojadiliwa na hawa mamluki bila kuchoka.
Acha kuitumia maneno vibaya...Sasa mamluki ni Nani hapa atiiii🤣😂🤣😂🤣😂🙉!?Taarifa hii imetolewa na Alhaji Musa Salum ambaye ni Sheikh wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba eti viongozi wa dini wanatarajia kukutana tarehe 30 July jijini kwa lengo la kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5!
Taarifa inazidi kueleza kwamba Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaliwa.
Tangu lini viongozi wa dini wakawa wasemaji wa serikali? Hii mbona ni siasa ya kiwango cha chini sana! Sasa tukisema hawa viongozi njaa wa dini wakiwemo maaskofu kadhaa walioshuka hadhi wanatumika tutakuwa tunakosea?
Tutahakikisha tunahamasisha wananchi kupuuza kila kitakachojadiliwa na hawa mamluki bila kuchoka.
Viongozi wa Dini ni watanzania wana kila sababu ya kueleza maoni yao juu ya utendaji wa serikali, ni kila jambo na wakati wake. Kuna wakati wanatoa nyaraka za kichungaji, lakini safari hii wamebadilisha style ya kufikisha ujumbe. Wanaopinga wasage sumu, wapinzani walitegemea hotuba ya kuisema serikali kwa mabaya, na kwa nini kuisema serikali kwa mazuri imekuwa shid??? wAAMBIENI WABELIGIJI hiI NI tANZANIA, Mbeligiji aishie kwa Lissu na aikome tanzania.Acha kuitumia maneno vibaya...Sasa mamluki ni Nani hapa atiiii🤣😂🤣😂🤣😂🙉!?
Wao wametumia haki yao ya kikatiba kutoa ya moyoni🤔! Shida ipo wapi? Hiyo roho ya Kaini Mungu akusaidie kuushinda, vinginevyo yatakukuta makubwa!?
Nyie ndiyo mna mpango wa kuiingiza nchi kwenye machafuko ndiyo maana viongozi wa dini wameamua kupiga MSTARI JUU ya nchi yao. Waambieni Mabeberu wenu, kuwa this is real TANZANIAhuu ni uhuni na kujipendekeza,viongozi wa dini wa aina hii hawafai wataingiza nchi kwenye machafuko,hiyo kazi ni ya polepole siyo yao
dunia IMESIKILIZA NA KUWAELEWAUzuri hakuna anayewasikilizaga MAFANIKIO HAYATAKIWI KUTANGAXA YANAJITANGAZA YENYEWE
Huyo sheikh wa mkoa wa dsm mmae amekaa kama kada wa CCM. huyu ndo anayefanya BAKWATA ionekane kama tawi la CCM badala ya kuwa ni taasisi huru . Mimi ni muislamu lkn huyo sheikh mkeka sikubaliani naye . Sheikh pekee ni sheikh ponda. waangalie wametoa macho kama kumbi kumbi na huku wakijua kuwa kampeni bado hazijaanza.Taarifa hii imetolewa na Alhaji Musa Salum ambaye ni Sheikh wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba eti viongozi wa dini wanatarajia kukutana tarehe 30 July jijini kwa lengo la kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5!
Taarifa inazidi kueleza kwamba Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaliwa.
Tangu lini viongozi wa dini wakawa wasemaji wa serikali? Hii mbona ni siasa ya kiwango cha chini sana! Sasa tukisema hawa viongozi njaa wa dini wakiwemo maaskofu kadhaa walioshuka hadhi wanatumika tutakuwa tunakosea?
Tutahakikisha tunahamasisha wananchi kupuuza kila kitakachojadiliwa na hawa mamluki bila kuchoka.
Hawajielewi. Viongozi wa dini wakiisema serikali wanakuwa wanafaa ila wakiisifia hawafai.Mbona maaskofu wakikemea unakuwaga wa kwanza kuanzisha uzi humu kusifia.
Unataka mambo yanayokufurahisha tu ndo yatendeke. Tengeneza dunia yako!
Kwa mtazamo wako upo sahihi kulingana na mfumo unakuendesha (siujui) Ukweli viongoziozi wa dini wanao jielewa hawawezi kujiingiza katika mambo ya vyama (mambo ya hovyo) tuweni wa kweli hao viongozi wamepotoka.Hawajielewi. Viongozi wa dini wakiisema serikali wanakuwa wanafaa ila wakiisifia hawafai.
viongozi wa dini wabaki na ccm,sisi waumini na washiriki tutabaki na chademaNyie ndiyo mna mpango wa kuiingiza nchi kwenye machafuko ndiyo maana viongozi wa dini wameamua kupiga MSTARI JUU ya nchi yao. Waambieni Mabeberu wenu, kuwa this is real TANZANIA