Kwanza nianze kutoa pongezi kwa msanii Alikiba kuimara wake kwenye game tangu arudi kufuta vumbi kiti chake.
Secondly, Ifahamike kwamba mimi ni mtu mwenye mawazo huru, nina haki kupongeza, kukosoa na hata kushauri.
Ushindi wa Mondy kule MTVEMA sidhani kama kweli umezingatia vigezo, how comes Huyu Nassib amshinde Wizkid mtu aliyekubarika hata na Drake? MTVEMA wanapata wapi ujasiri wa kumpa ushindi Nassib ili atuwakilishe Africa? Naamini kabisa hizi ni hujuma za wazungu katika kumkandamiza mwafrika yeye na sanaa yake, ndiomana wameamua kumpa ushindi mtu dhaifu kama Mondy ili kirahis ushindi ujao uende kwa star wa kihindi. Hapa ipo hujuma kubwa sababu walijua wangemuweka Wizkid huko mbelen isingekuwa rahis kwa huyo binti wa kihindi kushinda, ila sasa kwakuwa wameweka pazia, basi hakuna namna lazima Africa ishindwe tu.
Stop racism.
Kwanza nianze kutoa pongezi kwa msanii Alikiba kuimara wake kwenye game tangu arudi kufuta vumbi kiti chake.
Secondly, Ifahamike kwamba mimi ni mtu mwenye mawazo huru, nina haki kupongeza, kukosoa na hata kushauri.
Ushindi wa Mondy kule MTVEMA sidhani kama kweli umezingatia vigezo, how comes Huyu Nassib amshinde Wizkid mtu aliyekubarika hata na Drake? MTVEMA wanapata wapi ujasiri wa kumpa ushindi Nassib ili atuwakilishe Africa? Naamini kabisa hizi ni hujuma za wazungu katika kumkandamiza mwafrika yeye na sanaa yake, ndiomana wameamua kumpa ushindi mtu dhaifu kama Mondy ili kirahis ushindi ujao uende kwa star wa kihindi. Hapa ipo hujuma kubwa sababu walijua wangemuweka Wizkid huko mbelen isingekuwa rahis kwa huyo binti wa kihindi kushinda, ila sasa kwakuwa wameweka pazia, basi hakuna namna lazima Africa ishindwe tu.
Stop racism.
kubwa jinga
loh! Mbona wewe ndiye umeanza na ushabiki.rip filikunjombe.mkuu punguza ushabiki, mi hapa naongelea suala la kukandamizwa kwa sanaa ya africa kwa kukubali kuweka pazia
loh! Mbona wewe ndiye umeanza na ushabiki.rip filikunjombe.
mimi hata simuelewi huyu mkuu..
ninachoelewa..
1-diamond anajituma
2-analala hadi studio
3-hajawahi kupumzika kutoa tracks..
4-mbunifu
5-track zake zinagusa hisia za wengi
6-kuna ubaya gani mtanzania mwenzetu mwenye sifa kupokea tuzo hizi ?
7-anakubalika nchi nzima kwa jinsi kazi zake zilivyotulia..
8-mkuu Kiba yupo vizuri lakini Diamond yupo vizuro zaidi kama Ronaldo..
ndio maana tuzo kila siku.
Hii hatua aliyofika mondi inahitaji nguvu sana ths Y nimerudisha nguvu mkuu. Na ntavote sana..
Shikamoo, si ndo maana nakupenda bwana! Hivi unafikiri nilifurahi kukupoteza?
Btw Shardcole kumbe kigezo kilikuwa kukubalika na Drake? Oge oge. ......Basi upeleke hako kakigezo chako huko MTVEMA ili ukapinge, JF have nothing to do with MTVEMA. Acha kelele.
Kwanza nianze kutoa pongezi kwa msanii Alikiba kuimara wake kwenye game tangu arudi kufuta vumbi kiti chake.
Secondly, Ifahamike kwamba mimi ni mtu mwenye mawazo huru, nina haki kupongeza, kukosoa na hata kushauri.
Ushindi wa Mondy kule MTVEMA sidhani kama kweli umezingatia vigezo, how comes Huyu Nassib amshinde Wizkid mtu aliyekubarika hata na Drake? MTVEMA wanapata wapi ujasiri wa kumpa ushindi Nassib ili atuwakilishe Africa? Naamini kabisa hizi ni hujuma za wazungu katika kumkandamiza mwafrika yeye na sanaa yake, ndiomana wameamua kumpa ushindi mtu dhaifu kama Mondy ili kirahis ushindi ujao uende kwa star wa kihindi. Hapa ipo hujuma kubwa sababu walijua wangemuweka Wizkid huko mbelen isingekuwa rahis kwa huyo binti wa kihindi kushinda, ila sasa kwakuwa wameweka pazia, basi hakuna namna lazima Africa ishindwe tu.
Stop racism.
Kwanza nianze kutoa pongezi kwa msanii Alikiba kuimara wake kwenye game tangu arudi kufuta vumbi kiti chake.
Secondly, Ifahamike kwamba mimi ni mtu mwenye mawazo huru, nina haki kupongeza, kukosoa na hata kushauri.
Ushindi wa Mondy kule MTVEMA sidhani kama kweli umezingatia vigezo, how comes Huyu Nassib amshinde Wizkid mtu aliyekubarika hata na Drake? MTVEMA wanapata wapi ujasiri wa kumpa ushindi Nassib ili atuwakilishe Africa? Naamini kabisa hizi ni hujuma za wazungu katika kumkandamiza mwafrika yeye na sanaa yake, ndiomana wameamua kumpa ushindi mtu dhaifu kama Mondy ili kirahis ushindi ujao uende kwa star wa kihindi. Hapa ipo hujuma kubwa sababu walijua wangemuweka Wizkid huko mbelen isingekuwa rahis kwa huyo binti wa kihindi kushinda, ila sasa kwakuwa wameweka pazia, basi hakuna namna lazima Africa ishindwe tu.
Stop racism.
Kwanza tatua tatizo lako la R na L kisha tutakujibuKwanza nianze kutoa pongezi kwa msanii Alikiba kuimara wake kwenye game tangu arudi kufuta vumbi kiti chake.
Secondly, Ifahamike kwamba mimi ni mtu mwenye mawazo huru, nina haki kupongeza, kukosoa na hata kushauri.
Ushindi wa Mondy kule MTVEMA sidhani kama kweli umezingatia vigezo, how comes Huyu Nassib amshinde Wizkid mtu aliyekubarika hata na Drake? MTVEMA wanapata wapi ujasiri wa kumpa ushindi Nassib ili atuwakilishe Africa? Naamini kabisa hizi ni hujuma za wazungu katika kumkandamiza mwafrika yeye na sanaa yake, ndiomana wameamua kumpa ushindi mtu dhaifu kama Mondy ili kirahis ushindi ujao uende kwa star wa kihindi. Hapa ipo hujuma kubwa sababu walijua wangemuweka Wizkid huko mbelen isingekuwa rahis kwa huyo binti wa kihindi kushinda, ila sasa kwakuwa wameweka pazia, basi hakuna namna lazima Africa ishindwe tu.
Stop racism.