Mkikutana mtajitambulishaje...?
Kabla hamjakutana umeanza madharau na matusi je mkikutana itakuwaje?Mijitu ya Arusha mishamba sana ndio maana hata ukiambia ikutane haiwezi kuhoji.
Waiii nikajua unataka tukutane kweli kumbe umbe umbea tu........
Hahahaaa... Jamani mi napendekeza tukutane Mabwe Pande..