NAPENDEKEZA: Wanajamvi tuliopo Dar na wale watakaopenda TUKUTANE

Nadhani hili la kukutana face to face wanaliweza watu wa Arusha..Hap Dar sijui kama inawezekana...Sikukatishi tamaa lakini....
Hata dar tuliweza natumethubutu kwani tuliweza kuwa nakitu kinachotukutanisha angalau mara moja kwa mwezi..Tuna saccos....hivyo kama unataka..PM The Finest for further details!!
 
Last edited by a moderator:
Bad idea.

Very bad..cliafik kabisa..inapunguza msisimko kwa kweli na inaweza kuwa mwanzo wa jf kufa...angalia the so caled dar hotwaya, after members knw each other wale waliokuwa wanafahamiana walianza kueneza private lyf za wenzao, uadui ukaibuka, wakapigana na kuchafuana kwa email na mwisho...DHW DEATH!
 
We mshamba nini? Kwani wewe wazee unawafikiriaje, hawafai kuwa katika jamii? Na hasa tufahamishe ni kitu gani ambacho unakifikiria (insinuation) hata unafikiria kufanywa hapo, mpaka unatia hofu kuwapo kwa wazee
ukumbini.
 
Bad idea bwana, hakuna ulazima wa kujuana! Hayo tuwaachie watu wa LOVE CONNECT.
 
tukutane kwenye uwanja wa mwembe yanga, pale patatutosha kabisa.

Napendekeza mgeni rasmi atokee humu humu na apendekezwe na kupigiwa simu ila mods hapana maana huwa wanaondoa posti zangu kuhusu wizi wa Trillion 3 zilizopo kwenye akounti ya afande huko SA. Lkn nawapenda na kuwakubali ila wajue huwezi kuziba mbingu kwa kiganja labda ujifunike macho.
 
Hilo la tano litatufanya tuondoke na stress bure.
Na hiyo namba 4 imekaa kiumbea umbea.

5 kwa mstakali wa taifa sasa hivi si bibi wala babu anatakiwa kujiunga na harakati!! 4 ni utani unaoelekea kwenye ukweli.
 
Khaaa! Halafu mkishakutana mtaanza kutumia majina yenu halisi au?maana fake IDs hazitakua na maana tena cause mtakua mmejuana! Kila la kheri..
 
Tukutane tarehe 8 august,let say Bagamoyo mfano Livingstone hotel.,mimi ningependa kuunga mkono let's meet.pangeni na toeni mwongozo
 
Mie nitakuwa sipo, wakati huo mkikutana nitakuwa Mkwaja Tanga.......................
 
Tukutane tarehe 8 august,let say Bagamoyo mfano Livingstone hotel.,mimi ningependa kuunga mkono let's meet.pangeni na toeni mwongozo

Ni jambo lenye kuleta tija, sasa nashangaa kwanini watu wanaogopa!!!!!!!
 
Kabla sijasema ntakayosema ngoja nikupe ka fact kamoja hivi,

Zamani social networking ilikuwa inafanyika kwa watu kukutana katika maeneo tofauti tofauti ambapo ndipo waliweza kujuana na kuongea mambo mbalimbali. Lakini kadri teknolojia ilivyokuwa inakuwa imefanya zile social gathering ziwe na wigo mpana zaidi kwa maana kwamba sasa sio lazima utembee kutoka nyumbani kwako ili ukazungumze na rafiki yako wa mtaa wa pili coz unaweza kumpigia simu, email, sms, skype na nyingine nyingi. Hii pia imefanya hata utoaji wa maoni uwe mpana zaidi kwa maana kwamba mtu anaweza kutoa maoni yake popote alipo na watu wengi zaidi wakayapata kwa kutumia online social gatherings kama ilivyo JF na nyinginezo unazozijua wewe.

Sasa katika gatherings za siku hizi kila moja inakuwa na purpose yake na inapofikia kwamba the online has gone beyond online ni kitu kizuri pia lakini sio lazima online iende uso kwa uso. Sasa kwa JF kama ulivyoona wengi wanatumia IDs ambazo hazikufanyi umjue mtu husika tofauti na FB ambayo unaweka jina na picha yako iliyophotoshipiwa vizuri ili watu wakujue. So wengi wa waliopo hapa wanataka kufanya sauti zao zisikike huku wakiendelea kuwa anonymous. So kwa mtizamo huo itakuwa ngumu sana kuwaconvice wengi wao kukutana kwa mtindo wetu ule wa kizamani wa uso kwa uso.
Ni kweli mkuu, ulichowalilisha naunga mkono hoja,
 
Nyani Ngabu, why? JF ni kichaka cha watu wasioonana? Sema tu labda ajenda za kukutana tuzijadiri ila mimi sioni ubaya.

Kama unataka kujua ubaya wa kukutana kutana kwenye mazingira tulionayo. Tizama yaliyomkuta Dr. Ulimboka. Utafungua dirisha kwaajili ya kuingiza hewa, na nzi, nyuki, na manyigu yataingia na ndio utakuwa mwisho wa JF. Nafikiri stail iliyoko sasahivi ni nzuri sana, hasa ki usalama.
 
Back
Top Bottom