Uchaguzi mdogo jimbo la igunga umenifungua macho na masikio na kuweza kutambua uelewa wa baadhi yetu, sijui kama ni makusudi au hisia tumeamua kuweka akili zetu pembeni. DC alituhumiwa na CHADEMA kwamba alikuwa anafanya mipango ya uchakachuaji. badala ya watu kuongelea tuhuma wanaongelea mavazi aliyovaa DC, hii inawezekana ni kutaka watu wasiongee ukweli ambao ni wizi wa kila uchaguzi unapofanyika na badala yake waongelee mavazi.
Kwa kuwa mavazi ya dini yanaonekana ni muhimu kuliko matendo ya mvaaji, napendekeza mwizi, fisadi, jambazi akiwa amevaa hijabu, kanzu au baraghashia asiguswe. Hata akionekana kwenye kamera za supermarket akificha bidhaa kwenye hijab asiguswe kabisa maana hilo ni vazi tukufu !!!
Nawakilisha wana JF
Kwa kuwa mavazi ya dini yanaonekana ni muhimu kuliko matendo ya mvaaji, napendekeza mwizi, fisadi, jambazi akiwa amevaa hijabu, kanzu au baraghashia asiguswe. Hata akionekana kwenye kamera za supermarket akificha bidhaa kwenye hijab asiguswe kabisa maana hilo ni vazi tukufu !!!
Nawakilisha wana JF