BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
Tanganyika ilipata uhuru wake 9.12. 1961
Zanzibar ikapata uhuru wake January 1964
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar April 1964.....
Kwa uchunguzi wangu wataalamu wa historia wanasema baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika ilibadili jina na kuitwa TANZANIA na hapo jina la Tanganyika kufa.....Zanzibar ni sehemu ya Tanzania ndio maana unasikia Tanzania bara na Tanzania visiwani......huu muungano ni wa kiamani zaidi kwani nyerere angeamua kutumia nguvu zanzibar ingekuwa mkoa kama mikoa mingine....
Zanzibar ikapata uhuru wake January 1964
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar April 1964.....
Kwa uchunguzi wangu wataalamu wa historia wanasema baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika ilibadili jina na kuitwa TANZANIA na hapo jina la Tanganyika kufa.....Zanzibar ni sehemu ya Tanzania ndio maana unasikia Tanzania bara na Tanzania visiwani......huu muungano ni wa kiamani zaidi kwani nyerere angeamua kutumia nguvu zanzibar ingekuwa mkoa kama mikoa mingine....