hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
walipewa elfu kumi kumi wakaambiwa walie ,sijawahi kuona ilani yakisiasa ikiwabaraguza watu haaaa PEPO LA GAMBA LILIWAINGIA HAWA HAMNA HATA WATU MKUTANONI WANAHUTUBIA MAPAMBO YAO HAHAHH
elfu kumi yote hiyo!!!!!! hao wamekandamizwa ubwabwa nyama kwisha kazi