REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
hafai huyo jamaa hana kadi ya CCM ni mtu wa kudandia MWANA CCM MWEZAKE MKINGA nafikili wote mnamfahamu alishasema kuwa nape ni mtu wa kudandia hata marehem ...... si baba yake
Mhhhhh, hii niliisikia kwa Mkinga inawezekana ikawa sababu ya kuwa kama alivyo enh!!!!!