Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wahongeni wahariri wa vyombo vyote vya habari wasiwe wanaandika habari za wizi na ufisadi katika serikali yenu unaofanywa na wakubwa kila siku huku hakuna hatua za maana zinachukuliwa isipokuwa ubababishaji tu.
Hali kadhalika muwape wahariri hongo nyingine ili wasiwe wanaandika habari za ugomvi, hujuma na uhasama ndani ya safu ya juu ya chama chenu.
Hii mnayofanya sasa hivi kutumia polisi kuhujumu CDM, au vi-sms vya fake havitawasaidieni kabisa.
Na kama mtashindwa kuwathibiti wahariri, basi kampeni zenu katika majukwaa ziwe zinawalenga majizi na mafisadi unaofanywa na vigogo katika serikali ya chama chenu -- hapo angalau wananchi watawasikia. Lakini najua hamthubutu kufanya hivyo na hivyo wananchi wataendelea kuwaona nyie kama ni wawakilishi wa wale wale majizi.
Hali kadhalika muwape wahariri hongo nyingine ili wasiwe wanaandika habari za ugomvi, hujuma na uhasama ndani ya safu ya juu ya chama chenu.
Hii mnayofanya sasa hivi kutumia polisi kuhujumu CDM, au vi-sms vya fake havitawasaidieni kabisa.
Na kama mtashindwa kuwathibiti wahariri, basi kampeni zenu katika majukwaa ziwe zinawalenga majizi na mafisadi unaofanywa na vigogo katika serikali ya chama chenu -- hapo angalau wananchi watawasikia. Lakini najua hamthubutu kufanya hivyo na hivyo wananchi wataendelea kuwaona nyie kama ni wawakilishi wa wale wale majizi.