Nape, Nchemba - fanyeni hivi ili CCM yenu iondoke ICU na kurudi katika chati

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234
Wahongeni wahariri wa vyombo vyote vya habari wasiwe wanaandika habari za wizi na ufisadi katika serikali yenu unaofanywa na wakubwa kila siku huku hakuna hatua za maana zinachukuliwa isipokuwa ubababishaji tu.

Hali kadhalika muwape wahariri hongo nyingine ili wasiwe wanaandika habari za ugomvi, hujuma na uhasama ndani ya safu ya juu ya chama chenu.

Hii mnayofanya sasa hivi kutumia polisi kuhujumu CDM, au vi-sms vya fake havitawasaidieni kabisa.

Na kama mtashindwa kuwathibiti wahariri, basi kampeni zenu katika majukwaa ziwe zinawalenga majizi na mafisadi unaofanywa na vigogo katika serikali ya chama chenu -- hapo angalau wananchi watawasikia. Lakini najua hamthubutu kufanya hivyo na hivyo wananchi wataendelea kuwaona nyie kama ni wawakilishi wa wale wale majizi.
 
Wahongeni wahariri wa vyombo vyote vya habari wasiwe wanaandika habari za wizi na ufisadi katika serikali yenu unaofanywa na wakubwa kila siku huku hakuna hatua za maana zinachukuliwa isipokuwa ubababishaji tu.

Hali kadhalika muwape wahariri hongo nyingine ili wasiwe wanaandika habari za ugomvi, hujuma na uhasama ndani ya safu ya juu ya chama chenu.

Hii mnayofanya sasa hivi kutumia polisi kuhujumu CDM, au vi-sms vya fake havitawasaidieni kabisa.

Na kama mtashindwa kuwathibiti wahariri, basi kampeni zenu katika majukwaa ziwe zinawalenga majizi na mafisadi unaofanywa na vigogo katika serikali ya chama chenu -- hapo angalau wananchi watawasikia. Lakini najua hamthubutu kufanya hivyo na hivyo wananchi wataendelea kuwaona nyie kama ni wawakilishi wa wale wale majizi.

Ya nini kuwapa akili hawa? Kwanza hicho unachokisema hawawezi kabisa sana sana wataendelea kutumia polisi tu kwani wana amri nao.

Wacha liCCM lijifie lenyewe!
 
Wahongeni wahariri wa vyombo vyote vya habari wasiwe wanaandika habari za wizi na ufisadi katika serikali yenu unaofanywa na wakubwa kila siku huku hakuna hatua za maana zinachukuliwa isipokuwa ubababishaji tu.

Hali kadhalika muwape wahariri hongo nyingine ili wasiwe wanaandika habari za ugomvi, hujuma na uhasama ndani ya safu ya juu ya chama chenu.

Hii mnayofanya sasa hivi kutumia polisi kuhujumu CDM, au vi-sms vya fake havitawasaidieni kabisa.

Na kama mtashindwa kuwathibiti wahariri, basi kampeni zenu katika majukwaa ziwe zinawalenga majizi na mafisadi unaofanywa na vigogo katika serikali ya chama chenu -- hapo angalau wananchi watawasikia. Lakini najua hamthubutu kufanya hivyo na hivyo wananchi wataendelea kuwaona nyie kama ni wawakilishi wa wale wale majizi.

highlight in red: Hicho ndicho hasa kinawatenga wananchi kutoka CCM. CCM wanafahamu sana lakini jeuri ya hela ndiyo itawaangamiza.
 
ccm inatakiwa kuacha ujinga unaofanywa na wabunge wao kule bungeni .... wakiongozwa na viongozi wakuu wa mhimili huu
 
Wahongeni wahariri wa vyombo vyote vya habari wasiwe wanaandika habari za wizi na ufisadi katika serikali yenu unaofanywa na wakubwa kila siku huku hakuna hatua za maana zinachukuliwa isipokuwa ubababishaji tu.

Hali kadhalika muwape wahariri hongo nyingine ili wasiwe wanaandika habari za ugomvi, hujuma na uhasama ndani ya safu ya juu ya chama chenu.

Hii mnayofanya sasa hivi kutumia polisi kuhujumu CDM, au vi-sms vya fake havitawasaidieni kabisa.

Na kama mtashindwa kuwathibiti wahariri, basi kampeni zenu katika majukwaa ziwe zinawalenga majizi na mafisadi unaofanywa na vigogo katika serikali ya chama chenu -- hapo angalau wananchi watawasikia. Lakini najua hamthubutu kufanya hivyo na hivyo wananchi wataendelea kuwaona nyie kama ni wawakilishi wa wale wale majizi.

Whaaaaaaaat!!!!!!!!! Magamba waondokane na wizi? labda kesho jua lichomoze kutoka magharibi kuelekea mashariki!
 
Wizi ni jadi yao hawawezi kuacha,kikubwa tuwanyime ridhaa ya kuongoza nchi yetu.
 
Mkuu wahariri wanahongeka no doubt. Lakini JF watamhonga nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom