kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
kafulila,unatia huruma sana,nakushauri mtafute mvungi akushauri na uombe msamaha na uache unafiki,hila na kukubali kutumiwa ovyo ovyo.simamia maslahi ya Taifa na maendeleo ya jimbo lako
Tendwa hana haki yoyote kuingilia katiba ya vyama, kazi yake ni usajili na siyo kuongoza vyama vya kisiasa, anaweza toa ushauri kama Mtanzania yeyote lakini si kuingilia katiba na maamuzi ya vyama, mbona hajaingilia kujivua gamba kwa CCM? Busara ni wazi itumike na yy kama lilikuwa jukumu lake basi angeingilia mapema haya mambo maana yaliandikwa sana katika vyombo vya habari kabla ya kufikia hapa, nategemea pia kama ni jukumu lake aingilie pia mambo yalivyo CUF ili yasifikie ya NCCR.Kasema kitendo cha kufukuzana si cha kiungwana kashauri vikao vya vyama vitumie busara vitumike kukosoana kwa nia ya kujenga na si kukomoana. source redio clouds.
punguza spidi ya kutaka kuwa wa kwanza kuleta habari hadi unasahau vitu muhimu. Radio za fm ziko nyingi