LWAKAPISI
Member
- Mar 31, 2011
- 46
- 4
Huyu nnape ni dc ila takribani wiki 2 sasa yupo kwenye siasa je huo u-dc kampa nani?maana muda wote huo sijasikia anatangazwa kuzindua mradi wowote wilayani masasi.na je itakuwaje mwanasiasa kama huyu mambo wilayani yaemde vizuri kama sio kisiasa zaidi?wana masasi mpo wapi?peoples power