Nape: Jitegemee Trading Company ni mali ya CCM, lakini...

Tanzania Daima mtakosa wanunuzi kwa kuendelea kuutangaza udaku wa Chadema ambao unazidi kupamba moto siku hadi siku huku umaarufu wa chama ukiendelea kuporomoka kwa kazi kubwa!

Mmelifungia Mwanahalisi mbadala wake angalau kwa asilimia ndogo ni Tanzania Daima na Raia Mwema kwa hiyo usitarajie magazeti haya kukosa wateja. Mimi kwa mara y mwisho kununua gazeti la Uhuru ni 1994 Tafakari
 
Back
Top Bottom