NAPE ivi inakuaje uzungumzie posho na madokta wakti chama chako ndo serikali?

Utawala wa awamu ya nne kama tunavyouona, hauna kauli moja na ya kushikamana, enzi hizo zilishapita, sio baina ya mawaziri, sio baina ya wabunge, na sio baina ya viongozi wa ccm. Sasahivi ni opportunistic politics na za kutegeana, ili mradi kila mmoja ajilinde na hisia sivyo mbele ya umma. Kwa mfano, ni katika nchi gani imewahi tokea hali ya mawaziri kupigana vijembe hadharani kuusu utendaji wa serikali hiyo hiyo, mfano Sitta na Nahodha, na mifano mingine mingi tu.
 
Nape plz we are tired with this corrupt system of u a part ccm is no longer alive! It is a died body no one wil ask died body blood, doing that it wil show some problem with thinking capacity. Ikulu itudanganye bdo haijaidhinishwa posho ya mampz, mtoto watajiri atudanganye, makinda atufafanulie juu yaposho aeleze yaleyale mabov yakila siku hvi ww mama hukujaliwa watoto? Mbona huna hata huruma kdogo? Biblia ilishasema mapema mwanamke mwenye busara ataijenga nyumb yake. I dought tz inaendeleakubomoka kwa ajil yako. Huwez kumshaur mku wakaya awaongezee hawavijana wakomadaktari kisha mamp wasubiri kipndi kingne? Mbona unajipendelea au bdo unaomba kura? Uchaguz is over. Fanyakaz kwa masilah ya wtanzania and not ya ccm. wewe nape uje uzungumze uongo uleule wawakubwa wako NO! No no! Plz HATudanganyiki enough is enough. Watanzania we are no longer wajinga kama wewe nape na chama chako mnavyofikiri !
 
Viongozi wa ccm na serikali wangeepuka kauli znazopelekea kuongeza makali ya mgomo wa madaktari, mfano kauli ya pinda iliwafanya hata madaktari ambao kwa moyo mwema tangu mgomo uanze walikuwa kwa upendo wakihudumia watanzania pia nao wakaingia kwenye mgomo.

Kauli ya Nape kuwaomba madaktari waridi kazini imezidisha chuki kwa madaktari coz wanajua anawafanyia usanii na hili limethibitishwa na maoni ambayo yamekuwa yakitolewa katika kurasa za facebook za madaktari wengi na wengine wametoa mpaka matusi..

KATIKA HILI BUSARA INAHITAJIKA NA SIO SIASA TU..
 
Chama tawala (CCM) hatimae kimetoa tamko kuhusu mgomo wa madaktari na posho za wambunge. Ninanukuu "Kwa muda sasa nchi yetu imepitia kwenye tatizo kubwa la mgomo wa madaktari kwenye hospitali za uma ambao kwa kiasi kikubwa sana mgomo huo umekuwa na madhara makubwa sana kwa watanzania maskini ambao ni wengi kiasi hata cha kugharimu maisha yao. CCM inachukua nafasi hii kuwapa pole wale wote walioathirika kwa namna moja au nyingine na mgomo huu na kwa kweli tunasikitishwa sana na hali inayoendelea. CCM kinawapongeza na kuwashukuru madaktari walioonyesha ubinaadamu na uzalendo kwa kuamua kurudi kazini na wale ambao hawakugoma kabisa, tunawashukuru na kuwapongeza kwani hakuna maslahi yanayovuka thamani ya uhai wa binaadamu mwenzako.Tuna chukua nafasi hii kuwaomba madaktari wanaoendelea na mgomo kurudi kazini huku wakiendelea na mazungumzo na serikali. serikali kwa upande mmoja watafute kwa makini chanzo cha mgogoro huu na watafute majibu "

vile vile wamezungumzia posho za wabunge, nanukuu " CCM kinapenda kurudia wito kilioutoa juu ya suala la posho za wabunge, iliwaomba na kuwasihi wabunge na mamlaka zinazohusika na mchakato wa suala hili kuliangalia upya na kutumia busara,ikiwezekana kuachana nalo kabisa. CCM inaendelea kuwasihi waheshimiwa wabunge walitafakari upya suala hili na busara itumike katika kuliamua huku wakifungua masikio kusikiliza sauti za watanzania kwani huko bungeni wanawawakilisha hawa watanzania, ni vizuri kusikiliza hiki kilio chao" chanzo ni blog ya michuzi.Hayawana JF hivi mnawaelewaje hawa???? wakati wao ndio chanzo cha haya yote!!!
 
Chama tawala (CCM) hatimae kimetoa tamko kuhusu mgomo wa madaktari na posho za wambunge. Ninanukuu "Kwa muda sasa nchi yetu imepitia kwenye tatizo kubwa la mgomo wa madaktari kwenye hospitali za uma ambao kwa kiasi kikubwa sana mgomo huo umekuwa na madhara makubwa sana kwa watanzania maskini ambao ni wengi kiasi hata cha kugharimu maisha yao. CCM inachukua nafasi hii kuwapa pole wale wote walioathirika kwa namna moja au nyingine na mgomo huu na kwa kweli tunasikitishwa sana na hali inayoendelea. CCM kinawapongeza na kuwashukuru madaktari walioonyesha ubinaadamu na uzalendo kwa kuamua kurudi kazini na wale ambao hawakugoma kabisa, tunawashukuru na kuwapongeza kwani hakuna maslahi yanayovuka thamani ya uhai wa binaadamu mwenzako.Tuna chukua nafasi hii kuwaomba madaktari wanaoendelea na mgomo kurudi kazini huku wakiendelea na mazungumzo na serikali. serikali kwa upande mmoja watafute kwa makini chanzo cha mgogoro huu na watafute majibu "

vile vile wamezungumzia posho za wabunge, nanukuu " CCM kinapenda kurudia wito kilioutoa juu ya suala la posho za wabunge, iliwaomba na kuwasihi wabunge na mamlaka zinazohusika na mchakato wa suala hili kuliangalia upya na kutumia busara,ikiwezekana kuachana nalo kabisa. CCM inaendelea kuwasihi waheshimiwa wabunge walitafakari upya suala hili na busara itumike katika kuliamua huku wakifungua masikio kusikiliza sauti za watanzania kwani huko bungeni wanawawakilisha hawa watanzania, ni vizuri kusikiliza hiki kilio chao" chanzo ni blog ya michuzi.Hayawana JF hivi mnawaelewaje hawa???? wakati wao ndio chanzo cha haya yote!!!
 
Jana katika TBC nilimsikia Nape Nnauye mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Katibu Mwenezi wa CCM Taifa akiendelea kuwapigia magoti wabunge wa Bunge la Tanzania ambalo zaidi ya 75% ni kutoka CCM kwa watumie busara katika kujiongezea posho za kukaa "sitting allowances" toka 70,000/= hadi 200,000/=.

Mkanganyiko wa aina hii pia upo katika chama cha CHADEMA ambapo Mwenyekiti wake wa Taifa na Kiongozi wa Kambi ya Uinzani Bungeni Mhe Freeman Mbowe amewahi kunukuliwa akidai kuwa CDM inapinga posho za kukaa na, Mhe Zitto pia anaendelea kupinga posho hizo na kufikia hatua ya kuacha kuweka sahihi yake katika daftari la mahudhurio ili kukwepa kutumbukiziwa posho hizo katika kaunti yake ya benki;

Mhe John Mnyika amewahi kunukuliwa akidai kuwa hachukui posho za kukaa katika viako vyovyote iwe vya bunge, Baraza la Madiwani, RCC, Bodi ya Barabara n.k japo haijulikani kama anaweka sahihi katika dafatari la mahudhurio bungeni na kama anaweka sahihi yake, na kutumbukiziwa fedha za posho za kukaa katika vikao vya bunge huzifanyaje fedha hizo mara ziingiapo katika akaunti yake kama anadai hachukui posho za kukaa?
Ni vyema kwa kuwa Mhe John Mnyika ni mshirki wa JF akatuweka wazi kama anwekewa na Bunge fedha za posho za kukaa katika kaunti yake au la na huzifanyia nini fedha hizi.

Hivi karibuni iliripotiwa katika vyombo vya habari kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na mbunge Mhe Januari Makamba naye alipinga ongezeko la posho hizi hadharani japo haijulikani kama anachukua au la. Ni vyema kwa kuwa Mhe Januyary Makamba ni mshirki wa JF akatuweka wazi kama anachukua au hachukui posho hizi za kukaa.

Kwa kuwa kwa mfumo wa siasa za Tanzania chama kimeshika hatamu ni kwa vipi wabunge toka vyama hivi vikubwa wanaweza kuwavimbia viongozi wa kitaifa wa vyama vyao katika hoja kama ongezeko la posho kwa wabunge? Haiingii akilini kwa wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM kama Nape na Makamba kulilia hadharani badala ya Kamati Kuu ya CCM kumwajibisha Spika Anne Makinda kwa kukaaidi agizo la CCM au tuseme Kamati Kuu ya CCM hutumika kwawajibisha maspika pale tu wanapokuwa wamewakalia kooni mafisadi?

Pia haiingii akilini kwa chama kinchojiita cha ukombozi kama CHADEMA kukosa msimamo wa kichama kwa suala dogo kama hili, CDM itambue kuwa wenzao CCM wamezoea kupitia katika madhoruba ya kifisadi kama haya ndio maana idadi kubwa ya watanzania ikpoteza imani na chama hicho kilichokuwa na sifa ya kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi na kuwekeza matumaini yao kwa CDM.

CDM isifikiri kwa kuiga (copy and paste) kila kitu kutoka CCM ikiwemo mambo ya kifisadi kama vile Katibu Mkuu kuweka maslahi yake kwanza pale anapotakiwa kukitetea chama katika uchaguzi mkuu kwa kudai mshahara utakaofanana na wabunge kwa miaka mitano; hali ambayo inadhoofisha nafasi yake kama Katibu Mkuu kuweza kuchukua hatua za kufaa kuwadhibiti wabunge wa chama chake kutekeleza kwa vitendao sera na ahadi za chama zilizomo katika ilani ya CDM ya uchaguzi wa 2010 hususan kuhusu suala la posho hususan zile za kukaa.

Kwa mtu yeyote mwenye akili kitendo cha CDM kushindwa kuwa na msimamo wa kichama kuhusu suala hhili ni ishara ya wazi kuwa hawakuwa na uwezo wa kutekeleza ahadi zingine zote zilizokuwa katika ilani hiyo.
Ni vyema kwa kuwa Katibu Mkuu wa CDM Dr Slaa ni mshirki wa JF akatuweka wazi kuhusu msimamo wake binafsi na wa chama kuhusu posho za kukaa kutenda yale mtumishi anayolipiwa mshara na ongezeko la posho hizi kwa wabunge badala ya kukaa kimya.

CDM isifikiri kuwa itatoka salama katika dhoruba hili la kifisadi,kwani CCM hutoka salama katika madhoruba ya kifisadi kama haya kwa kuwa ni chama dola. Si rahisi tena kwa watanzania kujitolea kwenda kupambana askari wenye silaha kulinda kura zisiibiwe ili mbunge aje kushiriki ufisadi wa wazi kama huu.
 
Hili tamko limeidhinishwa na mwenyekiti wa ccm ambaye ni rais?
 
Kuwa wabadili msimamo juu ya posho zao? Thubutu! watasubiri wakati moto umepoa, kisha watalipana tu. Watawala wetu ni maselfish sana. Kama kweli wanamaanisha kuhusu posho basi wazikubali lakini waamuru zipelekwe kwa madaktari.
 
Mtu akiwa mpuuzi hautakuwa mpuuzi ukiamua kumpuuza. Hawa nao si vibaya kuwapuuza kwani wameendelea kuwa wapuuzi.
 
Actions speaker louder than words. Siamini kama shida ya madaktari ni kusikia neno kutoka magambani!
 
Danadana hii kuhusu posho ya wabunge inatukumbusha kwamba tunahitaji viongozi wanaoweza kuchukua maamuzi magumu na kuyasimamia, Yuko wapi Edward Ngoyai Lowasa?
 
Mi naona awa ni wale wale tu awana jipya!!!!!!!!mwenye kiti wao si ndio uyo uyo tu asie jielewa,
 
unajamba mwenyewe unaanza kujivaraguza,oo nasikia harufu mbaya,oo aliyechafua hewa otke nje,oonatoa tamko.

sisi watu wazima tunajua unafiki wao ila tunawaambia hatulali mpaka kieleweke.
na kitaeleweka tu.
 
DANGANYA TOTO HIYO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wamuwajibishe Mak India na Pinda wao, kweli tutawaamini kama nao walitoa kauli ya kulaani ongezeko la posho.

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Jana katika TBC nilimsikia Nape Nnauye mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Katibu Mwenezi wa CCM Taifa akiendelea kuwapigia magoti wabunge wa Bunge la Tanzania ambalo zaidi ya 75% ni kutoka CCM kwa watumie busara katika kujiongezea posho za kukaa "sitting allowances" toka 70,000/= hadi 200,000/=.

Mkanganyiko wa aina hii pia upo katika chama cha CHADEMA ambapo Mwenyekiti wake wa Taifa na Kiongozi wa Kambi ya Uinzani Bungeni Mhe Freeman Mbowe amewahi kunukuliwa akidai kuwa CDM inapinga posho za kukaa na, Mhe Zitto pia anaendelea kupinga posho hizo na kufikia hatua ya kuacha kuweka sahihi yake katika daftari la mahudhurio ili kukwepa kutumbukiziwa posho hizo katika kaunti yake ya benki;

Mhe John Mnyika amewahi kunukuliwa akidai kuwa hachukui posho za kukaa katika viako vyovyote iwe vya bunge, Baraza la Madiwani, RCC, Bodi ya Barabara n.k japo haijulikani kama anaweka sahihi katika dafatari la mahudhurio bungeni na kama anaweka sahihi yake, na kutumbukiziwa fedha za posho za kukaa katika vikao vya bunge huzifanyaje fedha hizo mara ziingiapo katika akaunti yake kama anadai hachukui posho za kukaa?
Ni vyema kwa kuwa Mhe John Mnyika ni mshirki wa JF akatuweka wazi kama anwekewa na Bunge fedha za posho za kukaa katika kaunti yake au la na huzifanyia nini fedha hizi.

Hivi karibuni iliripotiwa katika vyombo vya habari kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na mbunge Mhe Januari Makamba naye alipinga ongezeko la posho hizi hadharani japo haijulikani kama anachukua au la. Ni vyema kwa kuwa Mhe Januyary Makamba ni mshirki wa JF akatuweka wazi kama anachukua au hachukui posho hizi za kukaa.

Kwa kuwa kwa mfumo wa siasa za Tanzania chama kimeshika hatamu ni kwa vipi wabunge toka vyama hivi vikubwa wanaweza kuwavimbia viongozi wa kitaifa wa vyama vyao katika hoja kama ongezeko la posho kwa wabunge? Haiingii akilini kwa wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM kama Nape na Makamba kulilia hadharani badala ya Kamati Kuu ya CCM kumwajibisha Spika Anne Makinda kwa kukaaidi agizo la CCM au tuseme Kamati Kuu ya CCM hutumika kwawajibisha maspika pale tu wanapokuwa wamewakalia kooni mafisadi?

Pia haiingii akilini kwa chama kinchojiita cha ukombozi kama CHADEMA kukosa msimamo wa kichama kwa suala dogo kama hili, CDM itambue kuwa wenzao CCM wamezoea kupitia katika madhoruba ya kifisadi kama haya ndio maana idadi kubwa ya watanzania ikpoteza imani na chama hicho kilichokuwa na sifa ya kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi na kuwekeza matumaini yao kwa CDM.

CDM isifikiri kwa kuiga (copy and paste) kila kitu kutoka CCM ikiwemo mambo ya kifisadi kama vile Katibu Mkuu kuweka maslahi yake kwanza pale anapotakiwa kukitetea chama katika uchaguzi mkuu kwa kudai mshahara utakaofanana na wabunge kwa miaka mitano; hali ambayo inadhoofisha nafasi yake kama Katibu Mkuu kuweza kuchukua hatua za kufaa kuwadhibiti wabunge wa chama chake kutekeleza kwa vitendao sera na ahadi za chama zilizomo katika ilani ya CDM ya uchaguzi wa 2010 hususan kuhusu suala la posho hususan zile za kukaa.

Kwa mtu yeyote mwenye akili kitendo cha CDM kushindwa kuwa na msimamo wa kichama kuhusu suala hhili ni ishara ya wazi kuwa hawakuwa na uwezo wa kutekeleza ahadi zingine zote zilizokuwa katika ilani hiyo.
Ni vyema kwa kuwa Katibu Mkuu wa CDM Dr Slaa ni mshirki wa JF akatuweka wazi kuhusu msimamo wake binafsi na wa chama kuhusu posho za kukaa kutenda yale mtumishi anayolipiwa mshara na ongezeko la posho hizi kwa wabunge badala ya kukaa kimya.

CDM isifikiri kuwa itatoka salama katika dhoruba hili la kifisadi,kwani CCM hutoka salama katika madhoruba ya kifisadi kama haya kwa kuwa ni chama dola. Si rahisi tena kwa watanzania kujitolea kwenda kupambana askari wenye silaha kulinda kura zisiibiwe ili mbunge aje kushiriki ufisadi wa wazi kama huu.

usiwe bendera kufuata upepo, eti kisa CCM wametoa msimamo, unataka na CDM watoe msimamo. si lazima, hata hivyo waziri kivuli wa Afya na usitawi wa jamii alishatoa tamko akiwa Mwanza, kwani ni mjumbe wa Kamti ya bunge ya huduma za jamii. Nilimshuhudia Lakiro akitoa msimamo wa chama na kambi ya upinzani bungeni.

Waulizeni waandishi wa ITV, Star TV na Chanel Ten, labda hakuwatoa, wakabana kurusha habari zake
 
usiwe bendera kufuata upepo, eti kisa CCM wametoa msimamo, unataka na CDM watoe msimamo. si lazima, hata hivyo waziri kivuli wa Afya na usitawi wa jamii alishatoa tamko akiwa Mwanza, kwani ni mjumbe wa Kamti ya bunge ya huduma za jamii. Nilimshuhudia Lakiro akitoa msimamo wa chama na kambi ya upinzani bungeni.

Waulizeni waandishi wa ITV, Star TV na Chanel Ten, labda hakuwatoa, wakabana kurusha habari zake

Msimamo paispo vitendo vya wabunge kuacha kuchuakua posho za kukaa au kuzirejesha serikali ndichi kinchotakiwa sio blah blha tupu
 
Back
Top Bottom