Sasa tatizo ni nini? CCM wamesema hawatakuwa wanyonge tena wakichokozwa watajibu sasa kama CDM wana busara ni bora wasianzishe vurugu. Nawaomba wote wafanye siasa za kistaarabu. Pia nawasihi vijana hangaikeni kuboresha maisha yenu wanasiasa hawatainua maisha yenu binafsi ila nyinyi wenyewe ndio mmeshikilia mustakabali wa future zenu.
Na kwa nini CHADEMA pekee ndiyo wanaweweseka? the president's statement was too general, Jk mentioned no political party in particular. WHY reactions from CHADEMA only? Kuna haja ya kutafakari sana.