tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Awajibike pia na Maandamano ya Maustaadh leo
hapa anahitaji kuwajibika siyo siri.
Awajibike pia na Maandamano ya Maustaadh leo
zaidi ya lusinde au nape yule aliesema atawashikisha ukuta vijana wa mwanza?
Kweli nyani haoni kundule. Yahani CCM wameshindwa kuwajibika kwanza wenyewe kwenye ufisadi uliotupeleka masikini mpaka leo halafu anasema CDM iwajibike? Ni wangapi wamekufa kukosa huduma hospitali, njaa? Ni wangapi wameachwa na umasikini wa kupingukia ndani ya aridhi yao? Nani anawajibika hapo? Ndugu nape akatujibu kwanza maswali haya. Kama akina Nape wataendelea kuwa Viongozi wa CCM basi kuna hatari kubwa sana. Hii inafanya niwakumbuke sana kina Mangula. Yahani huyu nape ni hovyo kweli ndani ya CCM na ndo anatuharibia chama chetu lol
Hivi hiki kiumbe nape ni aina gani? Kwasababu namuona hayupo kwenye kundi la mamalia labda yeye na reptilia? Nimesema hv coz jamaa anaonyesha kama hayuko tz na hajui wa tz kiuelewa wamefikia wapi. Shame on u.
Imefika wakati viongozi wa Chadema wawajibike kwa vifo vinavyotokea katika maandamano yao kwa sababu wao ndio wanasababisha na wanakuwa wanafahamu kuwa mtu atafariki, Kifo cha Mwangosi Iringa kabla tukio halijatokea Mwandishi Francis Godwin alimuuliza Dr Slaa kwamba kwa nini wanaenda kufanya Mkutano wakati wamezuiliwa kufanya Mkutano Dr slaa alieleza Liwalo na Liwale na yuko tayari kupoteza Maisha ya Mtanzania yeyote ili kuimarisha Chama.
Hivi kwa nn Dr Slaa asiuzulu pamoja na Mwenyeki kama kweli wana nia ya dhati na Watanzania?
Kwa maneno aliyoyatoa ilikuwa ni lazima nguvu itumike kwa Sababu CDM Wakivunja Sheria wasiposhughulikiwa wanasema Serikali ya CCM dhaifu Sasa ili isiwe dhaifu lazima kila mmoja aheshimu sheria na anayevunja achukuliwe Hatua na ninamweleza IGP Na RPC Lazima muuendelee kulinda sheria kila mmoja aheshimu anayebisha ashughulikiwe...
Halafu Dr Alikuwepo Nyololo mbona alipoanzisha fujo tu hatukujua kaelekea wapi au ni Mkakati wa Chadema kuua watanzania wameagizwa na Wafadhili wao?
Kweli nimeamin kikao cha Chadema hakina Tofauti na kikao cha ukoo...Kikao cha Ukoo kinaweza kubadilika kuwa Kikao cha Chama
Jana kuna thread zilichangia kwa kusema mwandishi FRANCIC GODWIN ni Gamba sasa nimeamini umeamua kuanza kuishambulia CDM ili urudishe imani kwa Magamba wenzio hata ufanyeje ukweli hauwezi fichika.Imefika wakati viongozi wa Chadema wawajibike kwa vifo vinavyotokea katika maandamano yao kwa sababu wao ndio wanasababisha na wanakuwa wanafahamu kuwa mtu atafariki, Kifo cha Mwangosi Iringa kabla tukio halijatokea Mwandishi Francis Godwin alimuuliza Dr Slaa kwamba kwa nini wanaenda kufanya Mkutano wakati wamezuiliwa kufanya Mkutano Dr slaa alieleza Liwalo na Liwale na yuko tayari kupoteza Maisha ya Mtanzania yeyote ili kuimarisha Chama.
Hivi kwa nn Dr Slaa asiuzulu pamoja na Mwenyeki kama kweli wana nia ya dhati na Watanzania?
Kwa maneno aliyoyatoa ilikuwa ni lazima nguvu itumike kwa Sababu CDM Wakivunja Sheria wasiposhughulikiwa wanasema Serikali ya CCM dhaifu Sasa ili isiwe dhaifu lazima kila mmoja aheshimu sheria na anayevunja achukuliwe Hatua na ninamweleza IGP Na RPC Lazima muuendelee kulinda sheria kila mmoja aheshimu anayebisha ashughulikiwe...
Halafu Dr Alikuwepo Nyololo mbona alipoanzisha fujo tu hatukujua kaelekea wapi au ni Mkakati wa Chadema kuua watanzania wameagizwa na Wafadhili wao?
Kweli nimeamin kikao cha Chadema hakina Tofauti na kikao cha ukoo...Kikao cha Ukoo kinaweza kubadilika kuwa Kikao cha Chama
Imefika wakati viongozi wa Chadema wawajibike kwa vifo vinavyotokea katika maandamano yao kwa sababu wao ndio wanasababisha na wanakuwa wanafahamu kuwa mtu atafariki, Kifo cha Mwangosi Iringa kabla tukio halijatokea Mwandishi Francis Godwin alimuuliza Dr Slaa kwamba kwa nini wanaenda kufanya Mkutano wakati wamezuiliwa kufanya Mkutano Dr slaa alieleza Liwalo na Liwale na yuko tayari kupoteza Maisha ya Mtanzania yeyote ili kuimarisha Chama.
Hivi kwa nn Dr Slaa asiuzulu pamoja na Mwenyeki kama kweli wana nia ya dhati na Watanzania?
Kwa maneno aliyoyatoa ilikuwa ni lazima nguvu itumike kwa Sababu CDM Wakivunja Sheria wasiposhughulikiwa wanasema Serikali ya CCM dhaifu Sasa ili isiwe dhaifu lazima kila mmoja aheshimu sheria na anayevunja achukuliwe Hatua na ninamweleza IGP Na RPC Lazima muuendelee kulinda sheria kila mmoja aheshimu anayebisha ashughulikiwe...
Halafu Dr Alikuwepo Nyololo mbona alipoanzisha fujo tu hatukujua kaelekea wapi au ni Mkakati wa Chadema kuua watanzania wameagizwa na Wafadhili wao?
Kweli nimeamin kikao cha Chadema hakina Tofauti na kikao cha ukoo...Kikao cha Ukoo kinaweza kubadilika kuwa Kikao cha Chama
Wenye imani za kichawi utawajua tuu
- kweli wachochezi wanawachochea Policcm wawaue wafuasi waoNina wasiwasi mkubwa na chadema hawa jamaa inaelekea wameweka tamaa ya madaraka mbele na ni watu wachochezi sana.ni kama kagenge fulani hivi ka wahuni
Ni lini utakombolewa kifikra?
mkuu Mombasa ipi?
Kama ni kweli unaamini ulichosema, Kwanini Police wasingemuua Dr.Slaa? Kwanini walimuua Mwandishi wa Habari? Sasa Dr.Slaa hawajibike kwa lipi?
Je ni Dr.Slaa aliye wachochea Bashe na Dr.K kutishiana kwa mitutu ya bunduki ndani ya ofisi ya CCM wilaya?
Je ni Dr. Slaa aliyesema Dr. Mwakyembe kawekewa sumu na wanachama wenzake wa ccm?
Je ni Dr. Slaa aliyechochea Waislam leo Dar kuandamana kudai madai waliyotoa?
Mtasema kila kitu, mtatumia kila kitu, mwisho wa siku HAKI ITAIBUKA MSHINDI