alikuwa anaongea na nani? mnona kama haueleweki vile!
kisichoeleweka ni nini ? au unatatizo la kusoma vizuri?....nilimpigia simu binafsi akatoa majibu hayo
kisichoeleweka ni nini ? au unatatizo la kusoma vizuri?....nilimpigia simu binafsi akatoa majibu hayo
kwahiyo nape hana akili timamu sio?Arumeru Mashariki ni jimbo moja tu, hivyo kwa akili timamu mtu huwezi ku-conclude kifo cha chama kwa kushindwa jimbo moja.
Kufa kwa CCM kupo tu, washinde au wasishinde Arumeru. Tungefurahi kumsikia akikemea kwenye vyombo vya habari matumizi ya rushwa huko badala ya kuongea unafiki kwamba CCM ni chama makini na imara; umakini wao uko wapi?
Hakika, NASEMA KWA HAKIKA NDOTO ZINGINE NI ZA AJABU SANA, KUNA WATU WANAOTA MPAKA WANADHANI NI KWELI NDOTO ZAO ZINZTIMIA KUWA CCM INAKUFA.....BY THE WAY KADRI MNAVYOIOMBEA MABAYA CCM NDIVYO MNAVYOTUOMBEA AFYA NA MAISHA TELE...SO ENDELEENI KUOTAnape kupitia katika simu yake ya mkononi amesema CCm lazima kishinde Arumeru , kwani ni chama makini na kama kikishindwa ujue kimeanza kufa, nayeye anaamini chama hiko bado kipo imara hivyo kitashinda Arumeru.
Source:Nape Mnauye