Nape leo kacharuka kwenye msafara wa CCM uliokuwa ukiongozwa na Kinana na kuwatimua kwenye msafara huo watendaji wakuu wa Mtibwa sugar kwa madai kuwa uwepo wao kwa jinsi wanvyoishi na wakulima wa miwa mtibwa wanachafua sura ya ziara hiyo.
Nao jamaa kwa mshangao huku vichwa vikiwa chini nikashuhudia wakiondoka kwenye msafara huo.
" nani kawaalika kwenye msafara huu? Ondokeni sitaki kuwaona kwenye msafara huu, mna uhusiano mbaya na wakulima, mnawadhulumu wakulima na manataka kujificha kwetu!!?
Nao jamaa kwa mshangao huku vichwa vikiwa chini nikashuhudia wakiondoka kwenye msafara huo.
" nani kawaalika kwenye msafara huu? Ondokeni sitaki kuwaona kwenye msafara huu, mna uhusiano mbaya na wakulima, mnawadhulumu wakulima na manataka kujificha kwetu!!?