Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili usiku na nimemshuhudia bwana NAPE akisema atashughulika na wanaoanza kujipanga kwa urais wa 2015 sasa. Amesema wanapoteza muda na kawaasa waache kufanya hivyo. Ni wapiga campaign na wale wanaopigiwa. Katumia lugha ya kigeni hapoWanaokubali kuwekewa price tag" vua gamba ndo imeanza au ni bit la dogo? SOURCE ITV.