Nape awachimba mkwara wanaoanza kujipanga kuwania urais 2015. Vua gamba ndiyo imeanza?

Nyangomboli

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
3,501
1,955
Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili usiku na nimemshuhudia bwana NAPE akisema atashughulika na wanaoanza kujipanga kwa urais wa 2015 sasa. Amesema wanapoteza muda na kawaasa waache kufanya hivyo. Ni wapiga campaign na wale wanaopigiwa. Katumia lugha ya kigeni hapo”Wanaokubali kuwekewa price tag" vua gamba ndo imeanza au ni bit la dogo? SOURCE ITV.
 
Labda ataweza hebu tumsuburi tuone, mzee wa propaganda atakuwa kajipanga labda
 
huyu jamaa sijui anaendeshwa kwa remote ya nani... always pretends to talk big lakini huoni vitendo vinavyoendana na tambo zake
 
churaa tena samaki tena mnyoo tena kinyesi

Punguza hasira na matusi mkuu!Ninyi ndio mnaharibu hili jukwaa!Nape sio yote haya;hadhi yake kuu ni vuvuzela,halafu ana sifa kadhaa za ushoga hivi;maana yeye kila mara ni kutumwa na wanaume!!!!
Pia mngemwita kichwa maji mngekuwa hamjakosea sana!
Akili yake inakaribia kufanana na FaizaFox na Malaria Sugu!!!
 
Atapelekwa India sasa hivi, na akirudi huko ni vegetable kama wenzake, nyingi sikilizeni tu.
 
Punguza hasira na matusi mkuu!Ninyi ndio mnaharibu hili jukwaa!Nape sio yote haya;hadhi yake kuu ni vuvuzela,halafu ana sifa kadhaa za ushoga hivi;maana yeye kila mara ni kutumwa na wanaume!!!!
Pia mngemwita kichwa maji mngekuwa hamjakosea sana!
Akili yake inakaribia kufanana na FaizaFox na Malaria Sugu!!!

sio hasira ila ukweli huyu kinyesi anatia kichefuchefu,idiot.we mwaache abwate ovyo kama mwakyembe mwishowe mtauona.huyu ni mzoga tena wa popo au kenge
 
Back
Top Bottom