Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
Wamesilimishwa sijakuelewa unamaanisha wamekuwa waislam?Magwanda inaonesha mlikuwa mnafatilia kwa makini sana besidei ya CCM Mwanza. Kweli nimeamini CCM ndio namba wani. Kila details za besidei leo tunaipata kutoka kwa magwanda, raha sana. Kumbe walisilimishwa 1,800? na bado.
Sasa tunashauri kitengo cha propaganda kifanye besdei kila wiki na si kila mwaka.
CCM juu, juu, juu zaidi