Nape aogopa kutia mguu Arusha

wwe sasa inamaana uju anakuja kyuonge nii? au ni unafiki pia unao na kuandika vitu usivyo vijua nape hana sera za kueleza wana arusha cha msingi ni yeye kujisafisha na chama chake alafu aje mbele ya wananchi wakiwa wasafi
 
arusha na moshi zilishakuwa ngome za chadema siku nyingi. CCM hazina chao.
<br /> <br / nadhani hi ndo miji pekee ambayo wanamaanisha wanachokiamini.na hi ni tokea enzi za mariale alipokuwa kigingi tokea uhuru then mrema katika 2 phase then chadema
 
Update.............
*
yule katibu wa uenezi bwana Nape nauye siku ya leo ameshindwa kuja mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili juu ya kuingilia uhuru wa mahakama kuhusiana na kesi ya uchaguzi ya jimbo la Arusha mjini. Nape ameshindwa kufika na hakimu amesema Nape ameitaarifu mahakama kuwa anaumwa. kesi hiyo imeahiriswa.



Wakuu, hivi karibuni yule katibu mwenezi wa chama kinacho chukua mazoezi ya kuwa chama cha upinzani bwana Nape Nauye, tulitaarifiwa atakuwa na mikutano moshi na Arusha. Lakini hali imekuwa ndivyo sivyo baada ya Nape kufanya mkutano Moshi na kukosa watu waeneo husika na kubaki na watu wake wakubeba toka wilaya za jirani na mji wa moshi.

Nape alitarajiwa kutia miguu Arusha ila hali imekuwa ndivyo sivyo kwa sababu zifuatazo:
1. Tulimweleza nape kabla ya kuja Arusha aje na majibu ya Kagoda, Richmond, Epa, Rada
2. Ahakikishe watuhumiwa wote wamefikisha mahakamani kabla ya kutia miguu yake Arusha.
3. Ahakikishe m/kiti wake wataifa anaingizwa kwenye kesi ya kuhujumu uchumi toka 2005.
4. Ahakikishe serikali yake inatoa umeme siku mbili kabla ya kuingia Arusha bila kukatika.
Nape na serikali ya chama chake walikosa majibu na kuamua kusitisha ziara hiyo Arusha na kuamua kurudi Dodoma, imedhibitika kuwa Nape amekataa kata kata kutia miguu Arusha pamoja na kushinikizwa aje lakini kakataa na kudai Arusha si mnaifahamu? Mimi siwezi kwenda Arusha sasa mpaka hapo nitakapo jiridhisha alisema Nape.

Nadhani hii kesi imekaa vizuri sana yetu macho sasa.........
 
Mbona hayo maswali ni magumu sana.. Hata umgemleta Jakaya na Mawaziri wake wote.. ukawapanga pale Stadium Sheihk Amri Abeid wasingejibu hata moja kati ya Hayo.. Kwani yote wao ndiyo washtakiwa wakuu..............

Nape akija Arusha kwa hali ilivyo sasa ni vita anatafuta tu.... Na nitashangaa sana wakiruhusiwa kufanya mkutano wakati wenye mji Chadema tunabaniwa....

Aluta kontinua mapambano siyo yanaendelea ndiyo kwanzaaaaaaaaaaaa yameanza.......
 
Heshima yenu,
Hivi uongo huu MPAKA LINI? MTU AKIANDIKA UKWELI WA KILICHOTOKEA ANAPUNGUKIWA NINI HAPA? KWANZA KWANINI HAMSEMI KUWA KESI IMEKWISHA BAADA YA WAKILI WANLEMA KUSHINDWA KUTHIBITISHA KUWA YALE ALIYOSEMA YALIKUWA NI MATAMSHI YA NAPE, HASA BAADA YA MHARIRI WA NIPASHE KUKIRI KUWA WALIMNUKUU VIBAYA NAPE? NALO MNALIFANYA LA ITIKADI? NDO MAANA THREAD ZOTE ZINAZOONYESHA UKWELI WA HILI HUMU NDANI NIKIZISOMA MARA MOJA YA PILI NA YA TATU NAKUTA ZILISHAONDOLEWA???? HIVI MWATAKA TUAMINI HUMU HAKUNA THREAD POSITIVE INABAKI ILA YENYE UZUSHI NA UONGO NDO IBAKI?????!!!!!
SITAKI KUAMINI KUWA HATUJUI KUWA KESI YA NAPE NA MHARIRI KWA UPANDE MMOJA NA MDAI WAKILI WA LEMA HATUJUI KUWA IMEFUTWA NA SASANQUA KESI YA MSINGI YA LEMA NA WALE WAPIGA KURA NDIO INAENDELEA!!!!!! NADHANI KWA MWENDO HUU MTATUFUKUZA WENGI HAPA
 
Heshima yenu,
Hivi uongo huu MPAKA LINI? MTU AKIANDIKA UKWELI WA KILICHOTOKEA ANAPUNGUKIWA NINI HAPA? KWANZA KWANINI HAMSEMI KUWA KESI IMEKWISHA BAADA YA WAKILI WANLEMA KUSHINDWA KUTHIBITISHA KUWA YALE ALIYOSEMA YALIKUWA NI MATAMSHI YA NAPE, HASA BAADA YA MHARIRI WA NIPASHE KUKIRI KUWA WALIMNUKUU VIBAYA NAPE? NALO MNALIFANYA LA ITIKADI? NDO MAANA THREAD ZOTE ZINAZOONYESHA UKWELI WA HILI HUMU NDANI NIKIZISOMA MARA MOJA YA PILI NA YA TATU NAKUTA ZILISHAONDOLEWA???? HIVI MWATAKA TUAMINI HUMU HAKUNA THREAD POSITIVE INABAKI ILA YENYE UZUSHI NA UONGO NDO IBAKI?????!!!!!
SITAKI KUAMINI KUWA HATUJUI KUWA KESI YA NAPE NA MHARIRI KWA UPANDE MMOJA NA MDAI WAKILI WA LEMA HATUJUI KUWA IMEFUTWA NA SASANQUA KESI YA MSINGI YA LEMA NA WALE WAPIGA KURA NDIO INAENDELEA!!!!!! NADHANI KWA MWENDO HUU MTATUFUKUZA WENGI HAPA
Mkuu,
Caps=Shouting/Yelling...

Just to let you know.

Siyo big deal lakini kwa mtu wa level yako it is...
 
Huyu Nnauye si uondoke tu humu? Ni nini utatufanya? We ni mtumwa tu wa mafisadi,lakini nina imani ya kwmb utakumbuka shuka ingali kumekucha. Mtumwa wa mafisadi wee!!
 
Heshima yenu,
Hivi uongo huu MPAKA LINI? MTU AKIANDIKA UKWELI WA KILICHOTOKEA ANAPUNGUKIWA NINI HAPA? KWANZA KWANINI HAMSEMI KUWA KESI IMEKWISHA BAADA YA WAKILI WANLEMA KUSHINDWA KUTHIBITISHA KUWA YALE ALIYOSEMA YALIKUWA NI MATAMSHI YA NAPE, HASA BAADA YA MHARIRI WA NIPASHE KUKIRI KUWA WALIMNUKUU VIBAYA NAPE? NALO MNALIFANYA LA ITIKADI? NDO MAANA THREAD ZOTE ZINAZOONYESHA UKWELI WA HILI HUMU NDANI NIKIZISOMA MARA MOJA YA PILI NA YA TATU NAKUTA ZILISHAONDOLEWA???? HIVI MWATAKA TUAMINI HUMU HAKUNA THREAD POSITIVE INABAKI ILA YENYE UZUSHI NA UONGO NDO IBAKI?????!!!!!
SITAKI KUAMINI KUWA HATUJUI KUWA KESI YA NAPE NA MHARIRI KWA UPANDE MMOJA NA MDAI WAKILI WA LEMA HATUJUI KUWA IMEFUTWA NA SASANQUA KESI YA MSINGI YA LEMA NA WALE WAPIGA KURA NDIO INAENDELEA!!!!!! NADHANI KWA MWENDO HUU MTATUFUKUZA WENGI HAPA

Nashukuru kukuona hapa.Kuna gazeti limeandika kuwa unaumwa na umelazwa na ndio maana hukuweza kwenda mahakamani. Ni kweli? Kama ni kweli pole sana. Unaendeleaje sasa?
 
Heshima yenu,
Hivi uongo huu MPAKA LINI? MTU AKIANDIKA UKWELI WA KILICHOTOKEA ANAPUNGUKIWA NINI HAPA? KWANZA KWANINI HAMSEMI KUWA KESI IMEKWISHA BAADA YA WAKILI WANLEMA KUSHINDWA KUTHIBITISHA KUWA YALE ALIYOSEMA YALIKUWA NI MATAMSHI YA NAPE, HASA BAADA YA MHARIRI WA NIPASHE KUKIRI KUWA WALIMNUKUU VIBAYA NAPE? NALO MNALIFANYA LA ITIKADI? NDO MAANA THREAD ZOTE ZINAZOONYESHA UKWELI WA HILI HUMU NDANI NIKIZISOMA MARA MOJA YA PILI NA YA TATU NAKUTA ZILISHAONDOLEWA???? HIVI MWATAKA TUAMINI HUMU HAKUNA THREAD POSITIVE INABAKI ILA YENYE UZUSHI NA UONGO NDO IBAKI?????!!!!!
SITAKI KUAMINI KUWA HATUJUI KUWA KESI YA NAPE NA MHARIRI KWA UPANDE MMOJA NA MDAI WAKILI WA LEMA HATUJUI KUWA IMEFUTWA NA SASANQUA KESI YA MSINGI YA LEMA NA WALE WAPIGA KURA NDIO INAENDELEA!!!!!! NADHANI KWA MWENDO HUU MTATUFUKUZA WENGI HAPA

nape acha woga, unaogopa kupanda kizimbani! Au tatizo ni jiji la arusha. Halafu punguza kupuruka kama unaota ndoto.
 
Du!! Hii nimeipenda sana mkuu. naomba uwe unawaeleza mara kwa mara maana wanajisahau sana
CDM hawachoki siasa za uchwara. Nape kwani aliwapa ratiba ya ziara yake???? Msipende kudandia yasiyowahusu, malizeni mgogoro na madiwani wenu ambao wameapa hawatathubutu kutekeleza maagizo ya Kamati Kuu yenu kupitia barua ya Dr. Slaa. Aibu imewakuta madiwani wenu kutamka mbele ya wandishi wa habari kuwa KAMWE hawatishiki na barua toka taifani wao wanaangalia maslahi ya wapiga kura wao.
 
Heshima yenu, Hivi uongo huu MPAKA LINI? MTU AKIANDIKA UKWELI WA KILICHOTOKEA ANAPUNGUKIWA NINI HAPA? KWANZA KWANINI HAMSEMI KUWA KESI IMEKWISHA BAADA YA WAKILI WANLEMA KUSHINDWA KUTHIBITISHA KUWA YALE ALIYOSEMA YALIKUWA NI MATAMSHI YA NAPE, HASA BAADA YA MHARIRI WA NIPASHE KUKIRI KUWA WALIMNUKUU VIBAYA NAPE? NALO MNALIFANYA LA ITIKADI? NDO MAANA THREAD ZOTE ZINAZOONYESHA UKWELI WA HILI HUMU NDANI NIKIZISOMA MARA MOJA YA PILI NA YA TATU NAKUTA ZILISHAONDOLEWA???? HIVI MWATAKA TUAMINI HUMU HAKUNA THREAD POSITIVE INABAKI ILA YENYE UZUSHI NA UONGO NDO IBAKI?????!!!!! SITAKI KUAMINI KUWA HATUJUI KUWA KESI YA NAPE NA MHARIRI KWA UPANDE MMOJA NA MDAI WAKILI WA LEMA HATUJUI KUWA IMEFUTWA NA SASANQUA KESI YA MSINGI YA LEMA NA WALE WAPIGA KURA NDIO INAENDELEA!!!!!! NADHANI KWA MWENDO HUU MTATUFUKUZA WENGI HAPA
Kumbe auumwi nilifikiri walishakumwakyembe! any ways acha kulalamika kama bosi wako wewe si ndo mzee wa propo sasa ikikurudi tuliza masaburi ha! ha! ha!
 
NAPE LETA UVUVUZELA WAKO ARUMERU... Arusha hatunaga wapia midomo bali huku ni kazi tuuuu, Huyu bwana nipiga DomO sasa hilo DOMO ajealipigie ARUMERU.
 
Update.............
*
yule katibu wa uenezi bwana Nape nauye siku ya leo ameshindwa kuja mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili juu ya kuingilia uhuru wa mahakama kuhusiana na kesi ya uchaguzi ya jimbo la Arusha mjini. Nape ameshindwa kufika na hakimu amesema Nape ameitaarifu mahakama kuwa anaumwa. kesi hiyo imeahiriswa.



Wakuu, hivi karibuni yule katibu mwenezi wa chama kinacho chukua mazoezi ya kuwa chama cha upinzani bwana Nape Nauye, tulitaarifiwa atakuwa na mikutano moshi na Arusha. Lakini hali imekuwa ndivyo sivyo baada ya Nape kufanya mkutano Moshi na kukosa watu waeneo husika na kubaki na watu wake wakubeba toka wilaya za jirani na mji wa moshi.

Nape alitarajiwa kutia miguu Arusha ila hali imekuwa ndivyo sivyo kwa sababu zifuatazo:
1. Tulimweleza nape kabla ya kuja Arusha aje na majibu ya Kagoda, Richmond, Epa, Rada
2. Ahakikishe watuhumiwa wote wamefikisha mahakamani kabla ya kutia miguu yake Arusha.
3. Ahakikishe m/kiti wake wataifa anaingizwa kwenye kesi ya kuhujumu uchumi toka 2005.
4. Ahakikishe serikali yake inatoa umeme siku mbili kabla ya kuingia Arusha bila kukatika.
Nape na serikali ya chama chake walikosa majibu na kuamua kusitisha ziara hiyo Arusha na kuamua kurudi Dodoma, imedhibitika kuwa Nape amekataa kata kata kutia miguu Arusha pamoja na kushinikizwa aje lakini kakataa na kudai Arusha si mnaifahamu? Mimi siwezi kwenda Arusha sasa mpaka hapo nitakapo jiridhisha alisema Nape.

we endelea kupiga mayowe hapa washiri wanakusubiri wazae na wewe
 
Back
Top Bottom