Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Update.............
*
yule katibu wa uenezi bwana Nape nauye siku ya leo ameshindwa kuja mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili juu ya kuingilia uhuru wa mahakama kuhusiana na kesi ya uchaguzi ya jimbo la Arusha mjini. Nape ameshindwa kufika na hakimu amesema Nape ameitaarifu mahakama kuwa anaumwa. kesi hiyo imeahiriswa.
Wakuu, hivi karibuni yule katibu mwenezi wa chama kinacho chukua mazoezi ya kuwa chama cha upinzani bwana Nape Nauye, tulitaarifiwa atakuwa na mikutano moshi na Arusha. Lakini hali imekuwa ndivyo sivyo baada ya Nape kufanya mkutano Moshi na kukosa watu waeneo husika na kubaki na watu wake wakubeba toka wilaya za jirani na mji wa moshi.
Nape alitarajiwa kutia miguu Arusha ila hali imekuwa ndivyo sivyo kwa sababu zifuatazo:
1. Tulimweleza nape kabla ya kuja Arusha aje na majibu ya Kagoda, Richmond, Epa, Rada
2. Ahakikishe watuhumiwa wote wamefikisha mahakamani kabla ya kutia miguu yake Arusha.
3. Ahakikishe m/kiti wake wataifa anaingizwa kwenye kesi ya kuhujumu uchumi toka 2005.
4. Ahakikishe serikali yake inatoa umeme siku mbili kabla ya kuingia Arusha bila kukatika.
Nape na serikali ya chama chake walikosa majibu na kuamua kusitisha ziara hiyo Arusha na kuamua kurudi Dodoma, imedhibitika kuwa Nape amekataa kata kata kutia miguu Arusha pamoja na kushinikizwa aje lakini kakataa na kudai Arusha si mnaifahamu? Mimi siwezi kwenda Arusha sasa mpaka hapo nitakapo jiridhisha alisema Nape.
*
yule katibu wa uenezi bwana Nape nauye siku ya leo ameshindwa kuja mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili juu ya kuingilia uhuru wa mahakama kuhusiana na kesi ya uchaguzi ya jimbo la Arusha mjini. Nape ameshindwa kufika na hakimu amesema Nape ameitaarifu mahakama kuwa anaumwa. kesi hiyo imeahiriswa.
Wakuu, hivi karibuni yule katibu mwenezi wa chama kinacho chukua mazoezi ya kuwa chama cha upinzani bwana Nape Nauye, tulitaarifiwa atakuwa na mikutano moshi na Arusha. Lakini hali imekuwa ndivyo sivyo baada ya Nape kufanya mkutano Moshi na kukosa watu waeneo husika na kubaki na watu wake wakubeba toka wilaya za jirani na mji wa moshi.
Nape alitarajiwa kutia miguu Arusha ila hali imekuwa ndivyo sivyo kwa sababu zifuatazo:
1. Tulimweleza nape kabla ya kuja Arusha aje na majibu ya Kagoda, Richmond, Epa, Rada
2. Ahakikishe watuhumiwa wote wamefikisha mahakamani kabla ya kutia miguu yake Arusha.
3. Ahakikishe m/kiti wake wataifa anaingizwa kwenye kesi ya kuhujumu uchumi toka 2005.
4. Ahakikishe serikali yake inatoa umeme siku mbili kabla ya kuingia Arusha bila kukatika.
Nape na serikali ya chama chake walikosa majibu na kuamua kusitisha ziara hiyo Arusha na kuamua kurudi Dodoma, imedhibitika kuwa Nape amekataa kata kata kutia miguu Arusha pamoja na kushinikizwa aje lakini kakataa na kudai Arusha si mnaifahamu? Mimi siwezi kwenda Arusha sasa mpaka hapo nitakapo jiridhisha alisema Nape.